Kwahiyo umezini nae right?Hapana mkuu
we ni mchunguzje ilikuwa ndio mara yako ya kwanza ku sex na huyo msichana na je ulitumia kinga na je ulipiga bao ngapi umri wako pia tuanzie hapo nikusaidie
Mmh ni noumaaUlitomber jin mkuu, jin haliwez likakubal ulitombey halaf ubaki salama. Ukiokoka itapendeza zaid.
Pole sana kijana wewe kapime damu kubwa but usiwe na wasiwasi nowdays ukigudulika unao hapohapo unaanza DOZINilisex na msichana kwa muda mfupi tu mida ya jioni cha kushangaza nilipoamka alifajiri kesho yake nilijihisi mchovu kweli na mbavu zinauma
Hali hii ilichukua siku mbili tu baada ya hapo nikaendelea vizuri ajabu baada ya wiki nahisi mwili unaniwasha hivi na kama nahisi vitu vinanichoma kama vile mbu amening'ata sasa nimeenda kupima nikaambiwa nina malaria na UTI nimeanza dozi lakini bado nina wasiwasi kama inaweza kuwa ni tatizo jingine
Naomba mwenye uelewa na aya mambo anieleweshe vizuri jamani!! Kama linaweza kuwa tatizo jingine
We bwana kapime ukimwiSikutumia kinga wakuu.. Nilipiga goli moja tu..umri wangu ni 23 yrs
Tunapoteza nguvu ya taifa kizembe zembeSikutumia kinga wakuu.. Nilipiga goli moja tu..umri wangu ni 23 yrs
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji4] [emoji3]kamkaze tena uone kama iyo hali itajirudia, alafu acha uugue tu yaani 1st time unapiga bao 1 dharau gani hizi.a
hapa unatutaka kupiga ramli we nenda hospitali tu.
Acha uzinzi ni dhambiNilisex na msichana kwa muda mfupi tu mida ya jioni cha kushangaza nilipoamka alifajiri kesho yake nilijihisi mchovu kweli na mbavu zinauma
Hali hii ilichukua siku mbili tu baada ya hapo nikaendelea vizuri ajabu baada ya wiki nahisi mwili unaniwasha hivi na kama nahisi vitu vinanichoma kama vile mbu amening'ata sasa nimeenda kupima nikaambiwa nina malaria na UTI nimeanza dozi lakini bado nina wasiwasi kama inaweza kuwa ni tatizo jingine
Naomba mwenye uelewa na aya mambo anieleweshe vizuri jamani!! Kama linaweza kuwa tatizo jingine
Under 23 unakamata demu unapiga kimoja tu? Una shida wewSikutumia kinga wakuu.. Nilipiga goli moja tu..umri wangu ni 23 yrs
Mkuu umetisha(tumepoteza nguvu yaTaifa)Muwe mnawachunguza vizur hao mademu kabla ya kuwagegeda
Tumepoteza nguvu ya taifa hivi hivi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Muwe mnawachunguza vizur hao mademu kabla ya kuwagegeda
Tumepoteza nguvu ya taifa hivi hivi
Sawa...ushauri mzuri aufuate tu.Ulilala na jin mkuu, jin haliwez likakubal ulale nalo halafu ubaki salama. Ukiokoka itapendeza zaidi.
Khaaaa!Sikuizi kama ni maradhi watu wanayo na yakikuingia yanaanza kufanya kazi siku hiohio