Baada ya kutangaza ndoa, mchumba wangu kaniweka wazi ni single mother, upendo umeyeya nafikiri kumuacha

Tatizo ukipishana Naye kidgo... Anajuwa kutafuta furaha njeee..Hapo no kazi! Ndoa Ina mambo mengi Sana. Single Maza kutokana na nature yake utakuta akimwona mwanae Lazma amkumbuke x wake tu
Hahaha uwiii
 
Single mama mwenye mtoto wa kike ni rahisi ukaiva na hako kabinti, ila wa kiume haji kua rafiki yako na akifanikiwa,atamwamisha mama yake hapo kwako...ref Diamond.

Ni sawa na mwanamke kwenda olewa na mwanaume mwenye mtoto wa kike.
Aiseeee[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Shida sasa hapo si usingle mama, ni kukuficha. Kwa hilo usigeuke nyuma.
 
Umeanza vibaya tafuta mwingine.
 
OYA ACHANA NA HUYO NG'OMBE... MUACHIE NA MAHALI... jifanye kidume funga nae ndoa utatokwa makamasi... Single maza sio wa kuoa ni kuwachezea tu maana hawana akili watakudanganya kwa mengi ila mwsho wa siku atakuletea migogoro ya kimaisha
 
Kuna kuzaa mtoto mmoja na kuna kutoa mimba 5. Kama anakufaa ruka naye.
 
Nimeshakuelewa mkuu %100.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…