Baada ya kutangaza ndoa, mchumba wangu kaniweka wazi ni single mother, upendo umeyeya nafikiri kumuacha

Baada ya kutangaza ndoa, mchumba wangu kaniweka wazi ni single mother, upendo umeyeya nafikiri kumuacha

Pia mkumbushe tuu mtoto wakiume atatumia sana nguvu zako na hatokuja kukuthamini kama baba yake na wala uyo baba ake mzazi nayepia anaweza asimuwaze kabisa atamuwaza tu mama ake, kwaiyo akifanikiwa kimaisha kunyangaywa mke ni rahisi sana kama (diamond na mama ake)

Pia mtoto wakiume asipofanikiwa utaishi nae apo mpaka uchoke na kama hutozaaa watoto wakiume wengine na uyo single maza bas uyo ndo mrithi halali wa mali zako maana watoto wakike hua wanaolewa wanaondoka na waume zao tena wakiwa wanamali izo za nyumbani hua hawazi kabisa, ila wasipo olewa na wao huja kua single maza apo apoa kwako na hawatotoka ng'oo maana ndo kwao.

Faida za watoto wakike ni unaweza kukadanganya ukakapetpet mpaka kakakupenda wewe kuliko baba ake mzazi maana hawa viumbe wapogo kihisia sana kuliko kihualisia.

So single maza mwenye mtoto wakike ni mzuri zaidi kuliko mwenye watoto/mtoto wa kiume...japokua kuoa single maza nawe na huna mtoto wa pembeni ni hatari kwa afya ya akili zako otherwize mungu awe amekujalia hekma kubwa sana.
Asante sana kwa maelezo mazuri ndugu.

Nadhani atakua ameelewa.
 
Single mama mwenye mtoto wa kike ni rahisi ukaiva na hako kabinti, ila wa kiume haji kua rafiki yako na akifanikiwa,atamwamisha mama yake hapo kwako...ref Diamond.

Ni sawa na mwanamke kwenda olewa na mwanaume mwenye mtoto wa kike.
Mhm bora mtoto wa kiume ..mtoto wa kike sii shetani anaweza kukupitia ukamkula huyo binti🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ila hii theory mnayosemaga single mother hawezi kuachana na aliyemzalisha sijui huwa mnaipata wapi sijui. Mtoa mada na wenzio naomba nikuulize kidogo,

1. Ukioa asiye single mother na akawa na mabwana tisa ndani ya ndoa yako unapata faida gani
2. Huamini kabisa mtu anaweza akaachana na mtu mwingine mazima?
3. Ukioa asiye single mother lakini amewahi kutoa mimba 9 kuna faida gani?

Badilisheni mitazamamo yenu. Asilimia kubwa ya mwanamke ku cheat ni wewe mwanaume unavyoamua kuyapeleka maisha ( Najua wapo vipepe yes). Unaweza kuoa bikira ila huko mbele ukachapiwa kuliko kawaida

Kuwa positive. Maisha sio magumu kiasi mnachoyasemea mitandaoni na mitaani. Tatizo la kweli hapo ni moja tu, kwanini hakusema mwanzo japo inawezekana pia aliogopa utamuacha sababu ya akili zako au alikuwa hakuchukulii serious kiviiiile.
Maelezo mengi lakini huwezi kuficha uhalisia kwamba single mother lazima Ipo siku arudiane na mwanaume aliye zaa nae na kumbariki utamu , ijapokuwa sipingi single mothers kuolewa lakini ukweli ni kwamba wengi wao hurudiana na wale walio zaa nao
 
Maelezo mengi lakini huwezi kuficha uhalisia kwamba single mother lazima Ipo siku arudiane na mwanaume aliye zaa nae na kumbariki utamu , ijapokuwa sipingi single mothers kuolewa lakini ukweli ni kwamba wengi wao hurudiana na wale walio zaa nao
Aise sasa mbona mnanitisha. Mie nataka nizae na single maza sasa mnaposema kuwa jamaa atakuwa anatomber hapo sii mtiha i huo jamani
 
Single Mother ni balaa Mkuu,
Utajuta mno,

Kama mtoto wake yuko ana miaka mitano,
It means mkioana tuana mleta uananza Kusomesha, na huyo mtot anajitambua
So atajua fika kuwa wewe si baba yake......

Mpka akuzalie, tayari wake yuko darasa la tatu, then ww wako anaza chekechea wake yuko Chuo....

ACHANA NA HIZO BIASHAHARA,

HASARA ROHOO, PESA MAKARATASI,
Fedhea kwao na kwa Washkaji isikufanye UKAFUNGA PINGU ZA KUJUTIA MAISHANI....
Haaahaaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787]
 
kuna manzi tuliachana miaka 2 nyuma akaja akaolewa na jamaa mmoja ivi Tabora .na huyo manzi aliolewa akiwa na mtoto wangu

muda wote huo sijawahi kuwasiliana nae (niliweka heshima)


sasa juz kati nimekutana nae mwanza ndan ya daladala kashtuka na mm nikashtuka story za hapa na pale nikagusia kuhusu mwanangu akajibu yuko poa


Nikamuomba tukifika kisesa nimpe hela amnunulie dogo nguo akaitikia hayaa (ya puani lakini kuashiria hata nisipofanya vile poa tuu)


Kufupisha story tulikumbushia matukio ya nyuma tukajikuta tupo lodge na ni mke wa mtu.


nachokumbuka alisisitiza amekubali nimchakate kwa sbb alimic moments za nyuma.


NB: nilimwagia ndani tena.
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787] kummmmk umemchoma bisu la mnduku mleta uzi
 
Single motherz wengine ni watulivu na watiifu wakiwa wanatafuta ndoa. Ile comfort ya ndoa wakishaizoea ndio mabalaa huanza sasa. Anachat na mi EX yake kama kazi [emoji23][emoji23][emoji23]
Hehehehehe
 
Mimba zinachomolewa tu

Wakifika kwenye ndoa wanaanza kutafuta dawa za kubeba mimba
Balaa tupu tu hili life....unatoa mimba kibao ukiingia ndani ya ndoa utatafuta mtoto mpaka unatamani kujiua[emoji848][emoji848]
 
Ila daah kuna single mother wengine wazuri, kuna mmoja mrangi alikuwaga mwembamba,kavamia mume wa mtu akazani ataolewa mke wa pili, kazalishwa kapigwa chini. Baada ya hapo kanawili nyonga imetanuka, bonge la shape.
Ha ha ha..hapo umetamani
 
Back
Top Bottom