Baada ya kutangazwa rasmi hapo Ijumaa maeneo yapo chini ya Russia ndipo upo uwezekano wa kutangaza vita rasmi

Baada ya kutangazwa rasmi hapo Ijumaa maeneo yapo chini ya Russia ndipo upo uwezekano wa kutangaza vita rasmi

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Wengine wanaona kura za maoni kama jaribio la Kremlin kuanzisha upya vita.
Ikiwa Urusi itachukua maeneo haya inaweza kupeleka mzozo katika kiwango kipya na hatari zaidi, huku Moscow ikionyesha juhudi zozote za Ukraine kuyarudisha maeneo hayo kama shambulizi dhidi ya eneo lake huru.
Kuunganisha maeneo hayo kunaipa Urusi fursa ya kujilinda na kulipiza kisasi dhidi ya mashambulio yoyote ya Ukraine huko.
Rais Putin hivi karibuni alidokeza uwezo wake wa kutumia silaha za nyuklia kutetea ardhi ya nchi hiyo.
 
Wengine wanaona kura za maoni kama jaribio la Kremlin kuanzisha upya vita.
Ikiwa Urusi itachukua maeneo haya inaweza kupeleka mzozo katika kiwango kipya na hatari zaidi, huku Moscow ikionyesha juhudi zozote za Ukraine kuyarudisha maeneo hayo kama shambulizi dhidi ya eneo lake huru.
Kuunganisha maeneo hayo kunaipa Urusi fursa ya kujilinda na kulipiza kisasi dhidi ya mashambulio yoyote ya Ukraine huko.
Rais Putin hivi karibuni alidokeza uwezo wake wa kutumia silaha za nyuklia kutetea ardhi ya nchi hiyo.
Uwezo wa kutumia nyuklia hicho kiajuza hakina kwanza kinajuta kwanini kilianzisha hii vita
 
IMG_8067.jpg
 
Wengine wanaona kura za maoni kama jaribio la Kremlin kuanzisha upya vita.
Ikiwa Urusi itachukua maeneo haya inaweza kupeleka mzozo katika kiwango kipya na hatari zaidi, huku Moscow ikionyesha juhudi zozote za Ukraine kuyarudisha maeneo hayo kama shambulizi dhidi ya eneo lake huru.
Kuunganisha maeneo hayo kunaipa Urusi fursa ya kujilinda na kulipiza kisasi dhidi ya mashambulio yoyote ya Ukraine huko.
Rais Putin hivi karibuni alidokeza uwezo wake wa kutumia silaha za nyuklia kutetea ardhi ya nchi hiyo.
Huyu Putin ni mjinga mjinga sana. Wakati maaskari wakiwa wanalia kufiwa na family zao. Yeye bado analeta upuuuzi upuuuzi ambao utamkosti. Wazee kama hawa ni kudili na family zao. Akiuwawa Wale mabinti zake, yeye atachukulia ni kitu cha kawaida au?
 
Hapo ndipo BAVICHA wa Ulaya wanaposhindwa kumuelewa Putin subiri niliyemuelewa niwamegee utamu.

Putin lengo lake ni kuwafanya Ukraine waingie kwa nguvu kwenye majimbo yaliyojitenga na hiyo Referendum tafsir
 
Daah mkuu jinsi dunia ilivyostaarabika mbona hii ya kutukanana haipendezi?
Huyo kitu inaitwa kujadiliana kwa lugha ya staha hajui.Huwa nashangaa sana iweje moderators huwa hawaoni
 
Huyu Putin ni mjinga mjinga sana. Wakati maaskari wakiwa wanalia kufiwa na family zao. Yeye bado analeta upuuuzi upuuuzi ambao utamkosti. Wazee kama hawa ni kudili na family zao. Akiuwawa Wale mabinti zake, yeye atachukulia ni kitu cha kawaida au?
Shut up you know nothing
 
Back
Top Bottom