MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
Wengine wanaona kura za maoni kama jaribio la Kremlin kuanzisha upya vita.
Ikiwa Urusi itachukua maeneo haya inaweza kupeleka mzozo katika kiwango kipya na hatari zaidi, huku Moscow ikionyesha juhudi zozote za Ukraine kuyarudisha maeneo hayo kama shambulizi dhidi ya eneo lake huru.
Kuunganisha maeneo hayo kunaipa Urusi fursa ya kujilinda na kulipiza kisasi dhidi ya mashambulio yoyote ya Ukraine huko.
Rais Putin hivi karibuni alidokeza uwezo wake wa kutumia silaha za nyuklia kutetea ardhi ya nchi hiyo.
Ikiwa Urusi itachukua maeneo haya inaweza kupeleka mzozo katika kiwango kipya na hatari zaidi, huku Moscow ikionyesha juhudi zozote za Ukraine kuyarudisha maeneo hayo kama shambulizi dhidi ya eneo lake huru.
Kuunganisha maeneo hayo kunaipa Urusi fursa ya kujilinda na kulipiza kisasi dhidi ya mashambulio yoyote ya Ukraine huko.
Rais Putin hivi karibuni alidokeza uwezo wake wa kutumia silaha za nyuklia kutetea ardhi ya nchi hiyo.