Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,781
Atauza nini tena mrusi? Kama Bomba limepasuka ??Urusi alishakosea na anaendelea kukosea kwasababu atapigwa sana mpaka atoke.
Bomba la gesi limepasuliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atauza nini tena mrusi? Kama Bomba limepasuka ??Urusi alishakosea na anaendelea kukosea kwasababu atapigwa sana mpaka atoke.
Bomba la gesi limepasuliwa.
Putin anataka kumaliza vita kwa hiyo ameona amalize vita kwa kuchukua hayo maeneoUwezo wa kutumia nyuklia hicho kiajuza hakina kwanza kinajuta kwanini kilianzisha hii vita
Mbona unatokwa na povu kwani Putin ni mjomba ako anakujua kwaniShut up you know nothing
Lazima dunia ilindwe dhidi ya nyie wa kwa msaada wa watu wa marekaniView attachment 2371171
Kwa msaada wa watu wa marekani unatembeza mnato??? Warusi wa buza hatutumii hio aseeWewe sio bure una viashiria kabisa watu wanakupasua...nafatilia sana post zako ni lazima utaje mashoga...kama kweli unapasuliwa mtu wangu njoo inbox tuyajenge
Hawa ndo Samia anasema wanavaa suti nzuri wakati mifuko ya suti imejaa mkongo.Uwezo wa kutumia nyuklia hicho kiajuza hakina kwanza kinajuta kwanini kilianzisha hii vita
Hayo ndio marupurupu ya Vita, huenda akawa tayari kwa mazungumzo ila ni ngumu Ukraine akubali labda ashinikizwe na nchi za ulaya magharibi.Putin anataka kumaliza vita kwa hiyo ameona amalize vita kwa kuchukua hayo maeneo
Anayepata hasara hapa ni Ulaya kwa maana itabidi Gesi izimwe ili maintenance ifanyike..na majira ya baridi kali ndyo yanaanzaUrusi alishakosea na anaendelea kukosea kwasababu atapigwa sana mpaka atoke.
Bomba la gesi limepasuliwa.