kilama
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 2,745
- 1,989
Asante mkuu, uliyasema yametimia. Usitunyime kutupa yatayojiri tenaTusubiri ya Katanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu, uliyasema yametimia. Usitunyime kutupa yatayojiri tenaTusubiri ya Katanga
Mkuu unajua maana ya kutenguliwa?Mnaofurahia mnafurahi bure kabisa, nape anarudi chamani kwenda kuongeza nguvu!, huenda akakabidhiwa kanda ya ziwa kichama!
Wacheke tena si walizoeaKazi kwelikweliView attachment 3048304
Sina nia mbaya ni kwa maslahi mapana ya taifa.Hapa Singida black stars anakuona mchawi...😆
Huyu jamaa ni zero kabisa. Nadhani huwa anakula cha juu kwenye makampuni ya simu, kwa sasa yanajiumulia kila kitu ikiwa ni pamoja na wizi wa data. Starlink walitaka kuleta huduma za bei rahisi Waziri anakomaa eti waanzishe ofisi Tanzania. Ujinga mtupu.Huyu failure kashindwa hata kutoa license kwa starlink ili nchi nchi nzima tupate high speed internet bila kupimiana MB, alitakiwa apigane ili starlink walete service yao nchini lakini kwa akili zero alizonazo alikuwa kikwazo, nimefurahi sana limepigwa chinir
Hapo wanajadili kukwamisha wapiga kura.Kazi kwelikweliView attachment 3048304
Abebe kikaragosi chake. Arudishe hela zetu akakiweke kwakeAmchukue na huyu demu wake aende naeView attachment 3048313
Kajianza yeye mwenyewe kujiinamisha kabla ya X haijainamishwa na TISIARAEI
Atasingizi kuwa amepokea maelekezo toka juuWakuu,
Mambo ni moto, Nape kaondoa kaunti yake X kama TCRA![]()
![]()
. Jamaa kavurugwa mpaka ameamua kuzira?
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Kweli madaraka matamu Wakuu.
Kwahiyo na yeye saivi anaanza kuwa Lucas Mwashambwa kumsifia mama na kulamba miguu yake mpaka aje kulamba tena teuzi?
Sa itakuaje!![]()
Anajua kifuatacho. Wasiwasi ndio akili