Pre GE2025 Baada ya kutenguliwa Nape kaamua mazima na kufuta account yake X (Twitter)?

Pre GE2025 Baada ya kutenguliwa Nape kaamua mazima na kufuta account yake X (Twitter)?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
hivi unatumia kichwa kufikiri ama masaburi?
Hili neno maana yake Matako kwahivyo unapoamua kujibizana na watu kwanza ondoa uoga.. matusi si kitu ninacho hofia maana mjinga yoyote yule anaqeza tukana ,hata mimi nikiamua kuwa mjinga ningeweza kukushushia matusi.

Sasa kwakua huna hoja naomba nisijibizane na wewe ,ila elewa, serikali ina nufaika zaidi na ina mkono kwenye hizo kampuni za voda na tigo n rhe likes kwakua hata wanahisa kwenyw hizo kampuni, wapo watqnzania
 
Sijui kwanini Makamba, Nape na Mwigulu wanaogopwa sana katika siasa za Fisiemu zama hizi. Mbona wachache tu wale.... Samia kaogopa hakuna cha uwajibikaji wala visingizio gani.
Hapo ni mwendo wa Sub tu naona Sub ya Miguu ya Chemba inanukia ndio maana kila siku anapandisha uzi JF kujitetea asipigwe Sub
 
Back
Top Bottom