stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Haya sasa tulia Jini Magoma WeweUsipanic Mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya sasa tulia Jini Magoma WeweUsipanic Mkuu.
Barid Engineer.Haya sasa tulia Jini Magoma Wewe
Ndo ivo vilaza wamepigwa chiniHilo ndo jibu.
Hizo ni ligi za Vilaza.
Hapo ni kwenda KUOGA damu ya mnyama tu hakuna kingine kila siku Mbuzi mpya jaza Ndoo ya Lita 10 oga barazani, utasikia Nyape Nyauye Wizara ya Fedha Miguu ya Chemba anaenda SubNape nenda kwa Manabii ukajisafishe, ongea na Makonda atakupa akili ana uzoefu wa kutenguliwa kisha anarudishwa.
Na kilaza mwenzao.📌Ndo ivo vilaza wamepigwa chini
Acha wote wawepo ili washindane vzr kutoa huduma. Wananchi ndo watachagua wap waende.Kuna muda muwe mnatumia akil vizuri.
STarlinkni operate hapa nchini ,hizo pesa serikali ilizowekeza kwenye mkongo wa taifa zitarudi vipi?? Utalinda vipi makampuni ya ndani especially TTCL ,yan pesa zoote zitoke humu ndani ziende nje ??
Tuache ujinga wakat mwingine wa kutofikiria sawa sawa.
Inachokosea sana serikal ni namna inavyoshindwaa kuwabana haya makampuni ya ndani kama providers mpaka wanakua wanafanya mambo pasipo weredi lakin kuhusu starlink kunyimwa leseni , naunga mkono 100%.
Uki sahihi, lakin unapaswa kufanya hili ukiwa unafikiria namna ya kuwalinda wawekezaji wa ndani, ndio maana nikakubalkwa hil serikal kuna mahala inakosea, lakin pia iko sahihi. Huwek karibisha upinzani /competition while you fully understand that you, yourself are not competitive hence u cant winKwamba nchi zilizokubali starlink zenyewe hazina mkonga wa taifa au hazijawekeza? Unapokuwa na bidhaa nyingi sokoni ndio mteja anapata wigo mpana wa kuchugua bidhaa ambayo ni quality kwa bei affordable,hivyo basi inabidi tuwe na ushindani
kama ulikua hujui, naomba leo nikufahamishe, TTCL ndio mother provider wa internet tanzania hi. Wote hao akina vida n the likes, primary orovider wao ni TTcl.Kuna watu wengine hawajui hata ttcl wanajua voda,tigo Airtel na halo,kama ni Swala La hasara kwanini serikali isiwazuie hao private company maana hakuna tofauti kati ya hao kina voda na starlink
Harafu mwambie alokutuma arudishe ukurasa wake wa Twitter ili tumpige spana vizuri akutume wewe kilaza mwenzakeNa kilaza mwenzao.📌
Sawa Kilaza Mkuu.Harafu mwambie alokutuma arudishe ukurasa wake wa Twitter ili tumpige spana vizuri akutume wewe kilaza mwenzake
At least yeye kajipigania mwenyewe kwenye siasa bila kubebwaNa kilaza mwenzao.📌
Kula chuma hichoSawa Kilaza Mkuu.
Mkuu umenifanya nicheke kwa sauti kwenye daladalaHapo ni kwenda KUOGA damu ya mnyama tu hakuna kingine kila siku Mbuzi mpya jaza Ndoo ya Lita 10 oga barazani, utasikia Nyape Nyauye Wizara ya Fedha Miguu ya Chemba anaenda Sub
Hivi ukiwa chawa lazila uwe Mpumbavu🤣At least yeye kajipigania mwenyewe kwenye siasa bila kubebwa
Pole sana mkuu Ila sometimes usilolidhania huja kuaMkuu umenifanya nicheke kwa sauti kwenye daladala
Chumbani kwako au chumbani kwa nani?Wanasiasa ní kama ndugu, wakigombana shika jembe kalime. Nape na Makamba wametokea sebuleni, wataibukia chumbani mshangae.