Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
Bado yule mtu mkuu wa jikoni!! Anatoa majibu mepesi kwenye hoja nzito
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imefichwa sana hiiHapo alipo anajiuliza atapata wapi kura za nje ya box atimize ahadi ya kumsaidia yule aliyemuahidi.
Akikumbuka na sasa hana makampuni ya simu anazimia
Karibu Mkuu Kiongozi nimeongea kishambaBado yule mtu mkuu wa jikoni!! Anatoa majibu mepesi kwenye hoja nzito
Muktadha wa JF unaruhusuKaribu Mkuu Kiongozi nimeongea kishamba
Hafai mara ngapi? Mnataka mkamkaange X sasa yupo humu last seen 2020Apumzike hafai yeye na Makamba
Ayes kabisa MoraniMuktadha wa JF unaruhusu
we joto la watesi utaliwezaWakuu,
Mambo ni moto, Nape kaondoa kaunti yake X kama TCRA![]()
![]()
. Jamaa kavurugwa mpaka ameamua kuzira?
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Kweli madaraka matamu Wakuu.
Kwahiyo na yeye saivi anaanza kuwa Lucas Mwashambwa kumsifia mama na kulamba miguu yake mpaka aje kulamba tena teuzi?
Sa itakuaje!![]()
Wewe umeona kipofuKwa hao Vijana mimi sioni kilichoharibika nashangaa jamii inatafakari sana, hawa ni muhimu kuliko hata Samia mwenyewe kwenye propaganda za Fisiemu.
Sasa ushawah ona wapi Mshambuliaji wako unaeaminia umchezeshe mechi za kitoto wamvunje wakat soon kuna finali, lazima umlinde kwa kumpumzisha🤣
Lucas msambwanda aanze kupasha viungoWakuu,
Mambo ni moto, Nape kaondoa kaunti yake X kama TCRA![]()
![]()
. Jamaa kavurugwa mpaka ameamua kuzira?
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Kweli madaraka matamu Wakuu.
Kwahiyo na yeye saivi anaanza kuwa Lucas Mwashambwa kumsifia mama na kulamba miguu yake mpaka aje kulamba tena teuzi?
Sa itakuaje!![]()
We umeona nin?Wewe umeona kipofu
amemponza na Byabato wa Kagera,naye njeZile kampuni zake 5 za simu anazozimiliki itakuaje sasa?
Nimeona imepigwaWe umeona nin?
Hahaha Elon Musk huyu hapaAnaamini adui yake mkuu ni mwenye X.
Ngoja nikamwambie Elon Musk airudishe account ya Nape huko XAnaamini adui yake mkuu ni mwenye X.
Kuna muda muwe mnatumia akil vizuri.Huyu failure kashindwa hata kutoa license kwa starlink ili nchi nchi nzima tupate high speed internet bila kupimiana MB, alitakiwa apigane ili starlink walete service yao nchini lakini kwa akili zero alizonazo alikuwa kikwazo, nimefurahi sana limepigwa chini