Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Pole yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KIBURI, KIBURI, KIBURI, KIBURI, kilichomtoa shetani Mbinguni ni KIBURI, huyu jamaa KIBURI kilimfikisha pabaya sana, bado yule mwenzie mkuu wa HAZINA..... hata chama chake walisha mchika...Wakuu,
Mambo ni moto, Nape kaondoa kaunti yake X kama TCRA![]()
![]()
. Jamaa kavurugwa mpaka ameamua kuzira?
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Kweli madaraka matamu Wakuu.
Kwahiyo na yeye saivi anaanza kuwa Lucas Mwashambwa kumsifia mama na kulamba miguu yake mpaka aje kulamba tena teuzi?
Sa itakuaje!![]()
Jamani wakuu humu JF, kuna yeyote mwenye namba ya Gilbert Kalanje, nataka kumwambia kuna jambo lake huku, kuna jamaa anataka kuitisha "PRESS" na waandishi, shime aje haraka.Wakuu,
Mambo ni moto, Nape kaondoa kaunti yake X kama TCRA![]()
![]()
. Jamaa kavurugwa mpaka ameamua kuzira?
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Kweli madaraka matamu Wakuu.
Kwahiyo na yeye saivi anaanza kuwa Lucas Mwashambwa kumsifia mama na kulamba miguu yake mpaka aje kulamba tena teuzi?
Sa itakuaje!![]()
Yaan Mambo ni yamoto kweliTusubiri ya Katanga
Katanga anakuja kuchukua nafasi ya yule jamaa anayevaa tai za bendera?Tusubiri ya Katanga
MwiziTusubiri ya Katanga
Fafanua mkuuTusubiri ya Katanga
Una upumbavu mwingi ewe tapeli.Nape alitufungia kuangalia x kwenye google Sasa itakuwa wazi [emoji2]
Wokovu ni wewe mwenyewe.Poa. Wokovu umekaribia malangoni mwenu. Sema Amina
Hajawahi kuwa na aibu wala akili ya kujitegemeaWakuu,
Mambo ni moto, Nape kaondoa kaunti yake X kama TCRA![]()
![]()
. Jamaa kavurugwa mpaka ameamua kuzira?
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Kweli madaraka matamu Wakuu.
Kwahiyo na yeye saivi anaanza kuwa Lucas Mwashambwa kumsifia mama na kulamba miguu yake mpaka aje kulamba tena teuzi?
Sa itakuaje!![]()
🤣Amchukue na huyu demu wake aende naeView attachment 3048313
Bado mmoja hapoKazi kwelikweliView attachment 3048304
Spana zinaumaAibakishe vijana wamkaange??
Na yeye Mkeka ushaandaliwa?Tusubiri ya Katanga
Sahizi kashaagiza Vijana wakaondoe makorokoro kule Ofisini akabidhi Ofisi ikiwa SafiAnaogopa Waswahili watamzodoa "kiko wapi"?
Kapiga chafyaMama kanusa..