Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
DuhTusubiri ya Katanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhTusubiri ya Katanga
Utatu kama utatuKazi kwelikweliView attachment 3048304
I screenshot your commentTusubiri ya Katanga
Zile kampuni zake 5 za simu anazozimiliki itakuaje sasa?Hapo alipo anajiuliza atapata wapi kura za nje ya box atimize ahadi ya kumsaidia yule aliyemuahidi.
Akikumbuka na sasa hana makampuni ya simu anazimia
Ni hivi kila aliye tumika kwa njia moja au nyingine kumdhihaki Dkt Magufuli nadhani malipo hapa hapa duniani. Huwezi kabisa hata kidogo una akili ukasema eti Mungu kaamua ugomvi hahahahaWakuu,
Mambo ni moto, Nape kaondoa kaunti yake X kama TCRA![]()
![]()
. Jamaa kavurugwa mpaka ameamua kuzira?
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Kweli madaraka matamu Wakuu.
Kwahiyo na yeye saivi anaanza kuwa Lucas Mwashambwa kumsifia mama na kulamba miguu yake mpaka aje kulamba tena teuzi?
Sa itakuaje!![]()
Ipo kwenye katiba mkuu?Mamlaka ya uteuzi, wakati unafanya uteuzi kwa mara ya kwanza ilizingatia geografia/Mikoa.kila mkoa au Kanda ipate waziri au Naibu waziri.
Lakini katika hizi panga ,pangua tutajikuta mawaziri wote wanatoka mkoa/Kanda moja
Bado huyo wa Tai ya benderaKazi kwelikweliView attachment 3048304
Bawa? Chief?Tusubiri ya Katanga
Hiyo list angeikamilisha yote ingekua poa sana aisee..Kazi kwelikweliView attachment 3048304
Hakuna cha kufurahisha wakati CCM ipo palepale.Yajayo yanafurahisha
Duuh......Mkuu ya Mwigulu na Makonda lini?Tusubiri ya Katanga