much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Hawana umhimu wowoteKwa hao Vijana mimi sioni kilichoharibika nashangaa jamii inatafakari sana, hawa ni muhimu kuliko hata Samia mwenyewe kwenye propaganda za Fisiemu.
Sasa ushawah ona wapi Mshambuliaji wako unaeaminia umchezeshe mechi za kitoto wamvunje wakat soon kuna finali, lazima umlinde kwa kumpumzisha🤣