stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Yupi?Nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupi?Nani?
Huyohuyo.Yupi?
Wanaume kama mabinti.Kazi kwelikweliView attachment 3048304
Nani huyo?Huyohuyo.
Yesu ndiye njia kweli na uzima. Ana heri mtu yule anayemtegemea Bwana.Wokovu ni wewe mwenyewe.
Ukishindwa kujikomboa wewe binafsi hakuna wokovu mwingine.
Huna D mbili wewe.Nani huyo?
Hii issue kuna uwezekano mkubwa ina uhusiano na kile kilichowahi kusemwa na Mkuu mmoja wa MkoaWakuu,
Mambo ni moto, Nape kaondoa kaunti yake X kama TCRA![]()
![]()
. Jamaa kavurugwa mpaka ameamua kuzira?
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Kweli madaraka matamu Wakuu.
Kwahiyo na yeye saivi anaanza kuwa Lucas Mwashambwa kumsifia mama na kulamba miguu yake mpaka aje kulamba tena teuzi?
Sa itakuaje!![]()
Yule wa kwenye hela sio?Bado mbuzi mmoja wa kutolewa kafara
Kwenye siasa inatakiwa uwe tayari kwa kila jambo kama mwanajeshi vitani. Unapoteuliwa unakua surprised and unapotenguliwa pia unakua surprised.Wakuu,
Mambo ni moto, Nape kaondoa kaunti yake X kama TCRA![]()
![]()
. Jamaa kavurugwa mpaka ameamua kuzira?
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Kweli madaraka matamu Wakuu.
Kwahiyo na yeye saivi anaanza kuwa Lucas Mwashambwa kumsifia mama na kulamba miguu yake mpaka aje kulamba tena teuzi?
Sa itakuaje!![]()
I am more than that wewe mburula.Ninyi mnaishi pamoja? Maana Kiranga na wewe Infropreneur mmepangana kukoment
5&6 kwann na wate ni wapingaji wa uwepo wa Mungu?
Huyo Yesu/Bwana hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.Yesu ndiye njia kweli na uzima. Ana heri mtu yule anayemtegemea Bwana.
Ameshauriwa na daktari wake wa afya ya akili. Hii kwake ni aibu na imemfedhehesha sana yeye na familia yake. Tuendelee kumuombea, yeye ni binadamu tu kama mimi na wewe.Wakuu,
Mambo ni moto, Nape kaondoa kaunti yake X kama TCRA![]()
![]()
. Jamaa kavurugwa mpaka ameamua kuzira?
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Kweli madaraka matamu Wakuu.
Kwahiyo na yeye saivi anaanza kuwa Lucas Mwashambwa kumsifia mama na kulamba miguu yake mpaka aje kulamba tena teuzi?
Sa itakuaje!![]()
Gen Z hawamtaki Mwigulu na Bashe, wana mtaka Mpina.Tusubiri ya Katanga
Ila Nape sijui anatuonaje -___Amchukue na huyu demu wake aende naeView attachment 3048313
Kama mchungaji Mwakisopili wa Mbeya alivyosema.Ila
Ila Nape sijui anatuonaje -___