Pre GE2025 Baada ya kutenguliwa Nape kaamua mazima na kufuta account yake X (Twitter)?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu jamaa ni zero kabisa. Nadhani huwa anakula cha juu kwenye makampuni ya simu, kwa sasa yanajiumulia kila kitu ikiwa ni pamoja na wizi wa data. Starlink walitaka kuleta huduma za bei rahisi Waziri anakomaa eti waanzishe ofisi Tanzania. Ujinga mtupu.
 
Nimechekaaaaaa mbavu zinauma...lol 😂 😆 eti anakuwa kama Lucas Mushambwa
 
Atasingizi kuwa amepokea maelekezo toka juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…