Baada ya kutimuliwa CHADEMA na kuhamia CUF, Lwakatare atikisa Bukoba Mjini. Wananchi wakanyagana mkutanoni

Haya matent syo kwamba hapo kuna msiba au harusi?
 
Kuna kujaa ili kumshangaa mtu mjinga. Labda huo nao ni umaarufu.
 
Mbona kama Umepanic?
 
M
Picha huongea zaidi kuliko maneno matupu , jionee mwenyewe .

View attachment 1469795
Mkuu picha imepigwa kishabiki mno, mpiga picha kakaa mbali sana. Halafu kumbe mikutano inaruhusiwa sasahivi, pia inabidi kwasisi matomaso uongeze ushahidi kuwa huo ni mkutano wa Rwakatare na si mkutano wa injili
 
Unauhakika gani kama amesoma hizi pumba zako halafu mpaka akukanushe we ni nani hapa mjini na unaumaarufu gani na unauhakika gani kama rwakatale yumu huku jf
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Mbona jukwaa Lina rangi ya bendera yetu kwenye stairs.

I doubt ukweli wa picha hii.

Kama ya mbio za mwenge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…