Baada ya kutimuliwa CHADEMA na kuhamia CUF, Lwakatare atikisa Bukoba Mjini. Wananchi wakanyagana mkutanoni

Baada ya kutimuliwa CHADEMA na kuhamia CUF, Lwakatare atikisa Bukoba Mjini. Wananchi wakanyagana mkutanoni

Wale wa "chama kikuu cha upinzani" meno yote nje!! akili za kutikisa October kiama chenu mnaweza kukosa hata mbunge mmoja
kwa kutumia Polisi inawezekana lakini kwenye sanduku hata mkifanya kampeni bila nguo hamuiwezi chadema kwa lolote
 
pambaf zake! alifikiri wananchi walimfuata yeye kalaghabao! Wananchi walifuata chama cha CDM sio yeye!
 
Siasa buana,!! Kwani CCM, NCCR, ACT, UDP, CHAUMA hawataweka wagombea? Kwa nini kichwa cha thread kisisomeke kwamba RWAKATARE(CUF) avizika vyama vya CCM, CHADEMA, ACT na CHAU
A katika manispa
 
Mzee wetu badala aupumzike home acheze na wajukuu sasa njaa inamuaibisha!!
 
kwa kutumia Polisi inawezekana lakini kwenye sanduku hata mkifan yaya kampeni bila nguo hamuiwezi chadema kwa lolote
mbona unaweweseka mkuu ,mchukulieni Mzee membe fomu October mfanye yale 2015
 
Alichokisema lwakatare jana ni ukweli mtupu,akili za machadema zimejaa plastiki kwao uzushi na uongo ni sera za chama.Ona huyu pimbi anavyokurupuka,huo ni mkutano wa lwakatare?

Nini tofauti ya akili zako na za nguruwe pori( ngiri)?Lwakatare ndio baba wa siasa za bukoba,nyie manyumbu wa chadema lazima mkae.
Hakuna mkuu kuliko chadema aliondoka yule babu mzizinzi wa Sweden, chadema ikachukua nchi 2015 ingawa haikutangazwa, sembuse huyu mzee tuliyeemtetea asifungwe kwenye ilie movie yake na dogo rudovic
 
Back
Top Bottom