NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Basi sawaEti mtoto wa mjini , hahahaaaa unachekesha aiseee .. yaani Lwakatare mtoto wa mjini ??? Bc sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawaEti mtoto wa mjini , hahahaaaa unachekesha aiseee .. yaani Lwakatare mtoto wa mjini ??? Bc sawa
Wale wa "chama kikuu cha upinzani" meno yote nje!! akili za kutikisa October kiama chenu mnaweza kukosa hata mbunge mmoja
kwa kutumia Polisi inawezekana lakini kwenye sanduku hata mkifanya kampeni bila nguo hamuiwezi chadema kwa loloteWale wa "chama kikuu cha upinzani" meno yote nje!! akili za kutikisa October kiama chenu mnaweza kukosa hata mbunge mmoja
Kweli! Sasa imekuwaje akapata Kibali?
Acha uongo mikusanyiko hairuhusiwi
Vibali kwa CCM-B si swala la kuulizaKweli! Sasa imekuwaje akapata Kibali?
Lwakatare ndio mbabe wa siasa za kagera
Chadema ndio mmeptoea hivyo kagera
nani kakudanganya kwamba mamluki wanakatazwa ?Acha uongo mikusanyiko hairuhusiwi
Acha uwongo wewe mtu mzima Nani anamtaka Rwekatare Bukoba wewe mchovu huyo,hata angegombea kwa Tiketi ya chadema hamnagaLwakatare ndio mbabe wa siasa za kagera
Chadema ndio mmeptoea hivyo kagera
Kwa kuhutubia nyasi na mawe? Huyo ni siasa "bye bye".Lwakatare ndio mbabe wa siasa za kagera
Chadema ndio mmeptoea hivyo kagera
Duuuu....pamoja na miti
mbona unaweweseka mkuu ,mchukulieni Mzee membe fomu October mfanye yale 2015kwa kutumia Polisi inawezekana lakini kwenye sanduku hata mkifan yaya kampeni bila nguo hamuiwezi chadema kwa lolote
Kuna watu wanajua fitna kudadadeki
Hakuna mkuu kuliko chadema aliondoka yule babu mzizinzi wa Sweden, chadema ikachukua nchi 2015 ingawa haikutangazwa, sembuse huyu mzee tuliyeemtetea asifungwe kwenye ilie movie yake na dogo rudovicAlichokisema lwakatare jana ni ukweli mtupu,akili za machadema zimejaa plastiki kwao uzushi na uongo ni sera za chama.Ona huyu pimbi anavyokurupuka,huo ni mkutano wa lwakatare?
Nini tofauti ya akili zako na za nguruwe pori( ngiri)?Lwakatare ndio baba wa siasa za bukoba,nyie manyumbu wa chadema lazima mkae.