Freightliner
JF-Expert Member
- Aug 22, 2013
- 720
- 527
Sijawahi msikia akiongea bungeni huyo MTU
Aliacha ugaidi????
Aliacha ugaidi????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo wapi?weka picha akihutubia
Huyu kahutubia nyasi!!
Sijaelewa, huko kukanyagana vipi?
Lwakatare ndio mbabe wa siasa za kagera
Chadema ndio mmeptoea hivyo kagera
Chezea nshomile weweee?SHAZI LA KUFA MTU AISEEEEE 😀 😀 😀 😀
Alichokisema lwakatare jana ni ukweli mtupu,akili za machadema zimejaa plastiki kwao uzushi na uongo ni sera za chama.Ona huyu pimbi anavyokurupuka,huo ni mkutano wa lwakatare? Nini tofauti ya akili zako na za nguruwe pori( ngiri)?Lwakatare ndio baba wa siasa za bukoba,nyie manyumbu wa chadema lazima mkae.
Ruksa Kwani ugonjwa upo badoumesahau mikusanyiko si ruksa!
Hujamwelewa mleta mada ametumia ironyMbona ni kama sio wa kukanyagana.?
Sio vizuri hivyo.Hujamwelewa mleta mada ametumia irony
Jut to ridicule LwakataleSijaelewa, huko kukanyagana vipi?
Hapo keenye foreground sio noti ya buku hiyo? nyomi yote hiyo haijaiona?
Picha ya kwanza wanamcheka kwa kumsanifi
Hapana mkuu jamaa kapata mapokezi ya hatareeee! Mamamake!Huyu kahutubia nyasi!!
Nani kakudanganya kwamba Lwakatare ni baba wa siasa za Bukoba? Yaani mwaka huu kama atapata kura 5000 akatambikie! Alidanganywa na ma-CCM eti akitoka CHADEMA basi chama kitakufa.Alichokisema lwakatare jana ni ukweli mtupu,akili za machadema zimejaa plastiki kwao uzushi na uongo ni sera za chama.Ona huyu pimbi anavyokurupuka,huo ni mkutano wa lwakatare? Nini tofauti ya akili zako na za nguruwe pori( ngiri)?Lwakatare ndio baba wa siasa za bukoba,nyie manyumbu wa chadema lazima mkae.
Mbona kama umepanic mkuu..huo ubabe bado anao au umekariri tu?? Lwakatare ndo kwisha hbr yke..yaani bukoba kwa sasa Lwakatare anachukuliwa kuwa kafirisika kisiasa na hata angebakia chadema wala asingepitishwa mwaka huu...kifupi ameloweka [emoji23]Alichokisema lwakatare jana ni ukweli mtupu,akili za machadema zimejaa plastiki kwao uzushi na uongo ni sera za chama.Ona huyu pimbi anavyokurupuka,huo ni mkutano wa lwakatare? Nini tofauti ya akili zako na za nguruwe pori( ngiri)?Lwakatare ndio baba wa siasa za bukoba,nyie manyumbu wa chadema lazima mkae.
[emoji30][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... Mwana kuyataka... Mkataa pema..? Wahenga walisema!!!
Halafu akaziona ni nyomi ya wanaHuyu kahutubia nyasi!!