Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
hizi si umeweka wewe sasa !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hizi si umeweka wewe sasa !
Ha ha ha haWatu wamezi ignore sana hizo id takataka
Kama Rwakatare ndiyo Bingwa wa siasa huko kagera yakufaa uwaombe samahani wakazi wa Bukoba kwani hawawezi kukubali kuonekana kilaza Rwakatare ndiyo mjanja wao.
Rwakatare siyo Lwakatare wewe acha kuja na jina lako binafsiLwakatare ondoa Chadema kagera
Ujue kagera siyo wajinga kama unavyowaza wanajua Rwakatare kaamua kusaka kiki kwa mgongo wa kuichafua chademaLwakatare anaufuta Chadema kagera
Rwakatare siyo Lwakatare wewe acha kuja na jina lako binafsi
Ujue kagera siyo wajinga kama unavyowaza wanajua Rwakatare kaamua kusaka kiki kwa mgongo wa kuichafua chadema
fikicha machoMbona ni kama sio wa kukanyagana.?
Wakiwa kundini wanakuwa na Akili kidogo lakini wakitoka chadema wanapelekwa semina nyumbani kwa cyprian Musiba wanakaririshwa ujinga mwingi sana wanafundishwa siasa za kishamba hapo ndipo penye Tatizo kubwaCHADEMA kuna kitu spesho ambacho ukiwa ndani tu ndo unanufaika, kama kila anayehama anashambuliwa hivi na kuonekana ‘mshamba’ na maneno mengi yasiyofaa.
Tuamini kuwa walipokuwa kundini walipata ‘ustaarabu’ wa muda tu, wakihama wanarudia asili zao.... hii nzuri sana ila ingefaa tumjue huyo anayewakopesha ‘akili’ na usafi wakiwa kundini tu.
Lwakatare alikuwa na heshima kubwa Bukoba, Leo hii mkutano wake hauna hats watu 50 na bado unasema kuwa eti ni mwamba wa siasa za Bukoba,! Wewe kweli ni kenge.Alichokisema lwakatare jana ni ukweli mtupu,akili za machadema zimejaa plastiki kwao uzushi na uongo ni sera za chama.Ona huyu pimbi anavyokurupuka,huo ni mkutano wa lwakatare? Nini tofauti ya akili zako na za nguruwe pori( ngiri)?Lwakatare ndio baba wa siasa za bukoba,nyie manyumbu wa chadema lazima mkae.
Kweli aise, Hilo nyomi hapo si mchezoLwakatare ndio mbabe wa siasa za kagera
Chadema ndio mmeptoea hivyo kagera
😂😂😂Itakuwa bia ameishiwa bando anasubil rumumba wamnunulie aje kukichafua 😁😁
😂😂😂Bonge LA umati
Labda picha imepigwa wakati wa maandalizi ya mkutano wenyewe, na mbabe wa sasa za Bukoba alikuwa hajapanda jukwaani!Ni kweli ndio maana watu wamekanyagana utadhani mafuta ya Mwamposa .