Baada ya kutimuliwa CHADEMA na kuhamia CUF, Lwakatare atikisa Bukoba Mjini. Wananchi wakanyagana mkutanoni

Baada ya kutimuliwa CHADEMA na kuhamia CUF, Lwakatare atikisa Bukoba Mjini. Wananchi wakanyagana mkutanoni

Lwakatare anaufuta Chadema kagera
Kama Rwakatare ndiyo Bingwa wa siasa huko kagera yakufaa uwaombe samahani wakazi wa Bukoba kwani hawawezi kukubali kuonekana kilaza Rwakatare ndiyo mjanja wao.
 
CHADEMA kuna kitu spesho ambacho ukiwa ndani tu ndo unanufaika, kama kila anayehama anashambuliwa hivi na kuonekana ‘mshamba’ na maneno mengi yasiyofaa.

Tuamini kuwa walipokuwa kundini walipata ‘ustaarabu’ wa muda tu, wakihama wanarudia asili zao.... hii nzuri sana ila ingefaa tumjue huyo anayewakopesha ‘akili’ na usafi wakiwa kundini tu.
 
Huyo mbunge ndio aliwabeba Chadema huko kagera hawakujulikana
Kagera ni Ccm, Cuf na Nccr mageuzi
Ujue kagera siyo wajinga kama unavyowaza wanajua Rwakatare kaamua kusaka kiki kwa mgongo wa kuichafua chadema
 
CHADEMA kuna kitu spesho ambacho ukiwa ndani tu ndo unanufaika, kama kila anayehama anashambuliwa hivi na kuonekana ‘mshamba’ na maneno mengi yasiyofaa.

Tuamini kuwa walipokuwa kundini walipata ‘ustaarabu’ wa muda tu, wakihama wanarudia asili zao.... hii nzuri sana ila ingefaa tumjue huyo anayewakopesha ‘akili’ na usafi wakiwa kundini tu.
Wakiwa kundini wanakuwa na Akili kidogo lakini wakitoka chadema wanapelekwa semina nyumbani kwa cyprian Musiba wanakaririshwa ujinga mwingi sana wanafundishwa siasa za kishamba hapo ndipo penye Tatizo kubwa
 
Mwalimu wa propaganda wa Rwakatare ni cyprian Musiba na Le mutuz mnategemea nini hapo? Walimu wake wote ni mbumbumbu juha vilaza na kibaya zaidi ni watu wasio na siri hasa Le mutuz ni mdhaifu kwa wanawake ni dakika moja kujua siri endapo unamtuma mwanamke kupeleleza chochote kwa Le mutuz.
 
Magufuli mwenyewe kagoma kumpa cheo Le mutuz jiulize kaona nini? Lakini cha ajabu sasa le mutuz ndiyo mwalimu wa Rwakatare kwa sasa jiulize maswali utapata jawabu vizuri.
 
Alichokisema lwakatare jana ni ukweli mtupu,akili za machadema zimejaa plastiki kwao uzushi na uongo ni sera za chama.Ona huyu pimbi anavyokurupuka,huo ni mkutano wa lwakatare? Nini tofauti ya akili zako na za nguruwe pori( ngiri)?Lwakatare ndio baba wa siasa za bukoba,nyie manyumbu wa chadema lazima mkae.
Lwakatare alikuwa na heshima kubwa Bukoba, Leo hii mkutano wake hauna hats watu 50 na bado unasema kuwa eti ni mwamba wa siasa za Bukoba,! Wewe kweli ni kenge.
 
Back
Top Bottom