Tetesi: Baada ya kutishwa, Ruge Mutahaba muda mfupi ujao anaenda kupingana na ushahidi uliokuwepo

Status
Not open for further replies.
Intercontinental Ballistic Missals ndiyo nini mjuzi wa mambo na msomi uliyetukuka?
 
Mkuu hamtetei. Hebu sikiliza anavyomkaanga Bashite. Na bado Nape naye yupo ndani ya nyumba akisubiri zamu yake ya kukaanga.

Hiyo ni furaha kubwa Kwangu na naona NIMEFANIKIWA na kwa alichokisema Ruge Mutahaba ukiongezea huo Ugeni wa Wazini Nape sasa nina UHAKIKA kuwa Mkuu wa Mkoa Paul Christian Makonda hana zaidi ya siku tatu ( 3 ) zijazo Kazini. Rais JPM nadhani sasa UTATUELEWA Watanzania kuwa Makonda HATOSHEI na HAFAI kuwa Mkuu wa Mkoa na tafadhali MTUMBUE.
 
Hivi ukiwa peke yako huwa unawaza nini?
 
Intercontinental Ballistic Missals ndiyo nini mjuzi wa mambo na msomi uliyetukuka?

Spelling error hiyo Mkuu kwani naamini hata Wewe pia kuna siku zingine ukienda chooni huwa unakosea kulenga Shimo na unaachia Kimba linalonuka lako pembeni. Nilitaka kuandika neno Missile. Hebu nirekebishie basi hapo Mkuu huku Mwanamume nikiwa bado natiririka huku.
 
Baada ya kumsikiliza Ruge, je wewe mleta mada, unaona ulichoandika ni sawa?
 
Gentamycine, naona hajamtetea leo, au?
 
mkuu tutake radhi kwa huu uongo wako.
 
Hivi ukiwa peke yako huwa unawaza nini?

Ukiwa na AKILI ndogo na UPEO mdogo kamwe hutoweza kumwelewa GENTAMYCINE na kupitia huu huu UZI wangu nimefurahi kuweza kuwajua WAPUMBAVU. Najiona Mshindi sana na leo kwa aliyoyasema Ruge Mutahaba nimefurahi mno kwani sasa najua ni rasmi kuwa Mkuu wa Mkoa Paul Christian Makonda muda wowote kuanzia sasa anaenda KUTUMBULIWA kitu ambacho ndicho nimekuwa nikikipigania humu muda wote.
 
ukirudia soma hili wazo lako utaona aibu mwenyewe
 
Duuuh kama tanzania tumefikia kuishi kwa kujifurahisha hata kwa tusicho na ujakika nacho km mleta uzi hakika vijana tunazid kupotea,,kuanzia kiakili mpka kimwili
 
mkuu tutake radhi kwa huu uongo wako.

Nadhani Wewe na Wenzako wote mlipashwa KUNISHUKURU kwani bandiko langu limeweza kuyaondoa yale yote ambayo Ruge alipanga kuyasema ya kumbeba na kumtetea Makonda ila akabadili gia angani na akamchana mubashara Makonda kitu ambacho ndicho nilikuwa nakitaka ili iwe tiketi nzuri ya Makonda kufukuzwa Kazi rasmi.
 
kwani wewe ni muongo??????/ mbona hajamtetea RC kwa nguvu na kumkandamiza gwajima?? Inamaana ulilotoa hapa ni povu tuu
 
Angalia aibu inayokusuta kwa kuandika kwa hisia zako toka nyumban,,umesikia alichoongea ruge?? Daaah nchi yangu tanzania inaelekea wap sijui
 
Duuuh kama tanzania tumefikia kuishi kwa kujifurahisha hata kwa tusicho na ujakika nacho km mleta uzi hakika vijana tunazid kupotea,,kuanzia kiakili mpka kimwili

Nashukuru leo Uzi wangu kuweza kutembelewa na Watu wengi kama Wewe na najua mpaka siku ikiishia huu uzi wangu unaweza hata kutembelewa na Watu wote waliopo duniani. Karibuni sana katika uzi wa GENTAMYCINE na nafurahi kuona uzi ukitiririka.
 
HAYA TUAMBIE LUGE KAMSIFIA BASHITE AU KAMPONDA?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…