Hongera kwa Clouds kama nao hawatasikiliza ya mtandaoni. Clouds ni tishio kwa kazi nzuri wanayofanya ilivyo juu kupita kampuni zingine.
Na kupendwa kwa kipindi hicho na Rais pia ukaribu wa Rac nae kupenda kutumia.
Ndio imeleta haya ya kukuzwa. Inaonekana clouds kuna wafanyakazi wamechoka kazi, wachakachuliwe kwa kula hongo kuchafua kampuni hiyo.
Clip ya video inaonyesha utulivu, namba moja aliye kaa reception amekaa ametulia na Mh. Makonda kaingia kama walivyomzoea. Na ni kiongozi ulini muhimu sanaaaa kwake.
Nyie mnaokuza mambo ndio mjitafakari.
Ooh na vyeti feki navyo mlitengeneza bila kutumia akili,halafu eti nyie wasomi ha ha haaaaa
Makonda oyeeeeeee
Update: naona uzi umepewa u breaking news
Kwa lipi? Ili mtibue ya 360 au hamjui ya Malaika yamekuwepo tangu?
Update:
Ooh now tetesi...bora iwe hivyo as ni uongo mtupu huyu tunamjua zake ha ha haaaa