Baada ya kutoa nilichojaaliwa kwa mtoto nimepata amani ya moyo

Baada ya kutoa nilichojaaliwa kwa mtoto nimepata amani ya moyo

700k to 1 m. pesa sio issue kwangu ni quality of results. I personally follow up the results. so pesa unaweza lipa post results pia.
Wacha we..MWANAUME PESA 💰💰💰nguvu za kiume tutavumiliana 🤣👋
 
Bado haujapona maumivu ya moyo mkuu, sema unajilazimisha akili yako ikubali kwamba hilo jambo la mtoto ndio lilikua linakukosesha amani.
Kwasasa naona kama ndio umejiongezea taharuki moyoni kwasababu umemuona mtoto na tena umeongeza mashaka kwamba hamfanani.
 
Back
Top Bottom