Chariton003
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 333
- 905
Gharama zako zikoje?swala la dna. watu wa nitafute aisee. sina maneno mengi. ni kazi tu. I am a registered medical practitioner so uwakika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gharama zako zikoje?swala la dna. watu wa nitafute aisee. sina maneno mengi. ni kazi tu. I am a registered medical practitioner so uwakika
😃😃😃🤣🤣🤣Mimi mwanamke akiniambia ana mimba hata kama hatujawahi fanya sex nalea tu wala siwazi.
Namtunza si unaona mwenzio anavyoweweseka🤣👋Tunza mjomba huyo.
Dawa ipi? iyo ya kumpa huduma mwanao kwa siku 1 tena mpaka ukijiskiaKwa lipi sasa wakati dawa nimeishaipata
Namba yangu ni ile ile ya kutuma matumizi ya mimba😌Nalea tu uwezo ukiwepo. Ndio sadaka zangu huwa natoa hivyo. Huwa sipeleki sadaka kanisani.
Kama una mimba nisingizie nitalea.
700k to 1 m. pesa sio issue kwangu ni quality of results. I personally follow up the results. so pesa unaweza lipa post results pia.Gharama zako zikoje?
Umeiona?Namba yangu ni ile ile ya kutuma matumizi ya mimba😌
Nasubiri muhamala baba watoto
Nahisi mtandao unasumbua😂Umeiona?
Wacha we..MWANAUME PESA 💰💰💰nguvu za kiume tutavumiliana 🤣👋700k to 1 m. pesa sio issue kwangu ni quality of results. I personally follow up the results. so pesa unaweza lipa post results pia.
🪓🤣👋Umeiona?
Utapeli sipendi, mbona nikijaribu ku reverse transaction naambiwa pesa imeshatolewa?Nahisi mtandao unasumbua😂
Ohooooo 🙆♀️🙆♀️🙆♀️Utapeli sipendi, mbona nikijaribu ku reverse transaction naambiwa pesa imeshatolewa?
Jaman🥹Utapeli sipendi, mbona nikijaribu ku reverse transaction naambiwa pesa imeshatolewa?
Nimeipata jamanOhooooo 🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Darlin please confirm kupokea kwa muamala🤣👋
Nina mimbaMimi mwanamke akiniambia ana mimba hata kama hatujawahi fanya sex nalea tu wala siwazi.
Tukuiteje sasa: ZOBA au DUME BWEGE?Mimi mwanamke akiniambia ana mimba hata kama hatujawahi fanya sex nalea tu wala siwazi.
The choice is yours, ita unachotaka.Tukuiteje sasa: ZOBA au DUME BWEGE?
Ngoja nakuja tuzungumze chakufanya.Nina mimba