Kwani mbowe nae ni billionea. Wapo akina Ahmed Shabiby , abood , kishimba n.k.Hapa nazungumzia mabilionea wenye uwekezaji hadi mashariki ya mbali na Ulaya siyo hawa wenye mabasi malori na guest houses.
Wote tunajua mabilionea Mo Dewji, Rostam Aziiz na Freeman Mbowe walikuwa wabunge na sasa wanaendelea na biashara zao huku wakichochea ukuaji wa uchumi kwa vitendo kupitia sekta binafsi ambayo ndio injini ya uchumi.
Je, kuna bilionea yoyote kabakia kule bungeni?
Ramadan Kareem!
kama unamjua Mbowe kutokea bungeni huwezi kuelewa haya mambosasa mbowe ni billionea? 😂 😂 😂
Lakini ukae ukijua kua ile bilikanas aliovunja mwenda wazimu wa kuzimu,ilikuwepo tangu na tangu.Tajiri kapiga hela za wabunge wake walizokuwa wakikatwa kila mwezi kwa muda wa miaka 5 plus michango ya wananchi masikini alizokuwa akichangisha wakati wa kampeni. Hakika wajinga ndio waliwao
Wapo akina Abood, Msukuma, Kishimba Gwajima na wengine tu kwani shida nn Mangi?????Hapa nazungumzia mabilionea wenye uwekezaji hadi mashariki ya mbali na Ulaya siyo hawa wenye mabasi malori na guest houses.
Wote tunajua mabilionea Mo Dewji, Rostam Aziiz na Freeman Mbowe walikuwa wabunge na sasa wanaendelea na biashara zao huku wakichochea ukuaji wa uchumi kwa vitendo kupitia sekta binafsi ambayo ndio injini ya uchumi.
Je, kuna bilionea yoyote kabakia kule bungeni?
Ramadan Kareem!
Mpaka posho itoke tutaona mengi snHapa nazungumzia mabilionea wenye uwekezaji hadi mashariki ya mbali na Ulaya siyo hawa wenye mabasi malori na guest houses.
Wote tunajua mabilionea Mo Dewji, Rostam Aziiz na Freeman Mbowe walikuwa wabunge na sasa wanaendelea na biashara zao huku wakichochea ukuaji wa uchumi kwa vitendo kupitia sekta binafsi ambayo ndio injini ya uchumi.
Je, kuna bilionea yoyote kabakia kule bungeni?
Ramadan Kareem!
Alimaanisha Ngorongoro craterHK vip si alisema company yake inamtaj wa b 10
Jamaa alijipanga snBilionea Mbowe katisha yaani wamefunga accounts zake za biashara ,wakafunga ya mshahara halafu Bilionea anadunda tu hakuunga mkono juhudi za MEKO.
Hana kitu tena amefilisikaJumanne Kishimba Standard 7, Mbunge wa Kahama Mjini..
Rwanda, Burundi na Uganda anajulika sanaa kwa uwekezaji alioufanya kuliko hapa BongoLand
Mbowe hafanyii njaa siasaWakati namtaja Mbowe kama mmoja wa mabilionea duniani kuna makapuku wengi wa CCM walinipinga , sasa naona wengi mmekwishasoma alama za nyakati .
Wewe ndio umemfilisii? Na umejuaje kama amefilisika??Hana kitu tena amefilisika
Elewa hivyoWewe ndio umemfilisii? Na umejuaje kama amefilisika??
Huyo jamaa is either kaja mjini juzi au haujui kabisa mjihumjui Mbowe wewe
kama unamjua Mbowe kutokea bungeni huwezi kuelewa haya mambo
Bungeni amebaki billionea msukuma na billionea MwanaFA ingawa juzi kati huyo mwanaFA Tigo wamemtapisha billion zote walizomlipa.
Wabongo huwa tunaongea tu hiyo rufaa sio tu kwamba haijaanza kusikilizwa lakini hata majaji hawajapangwa.Nachojua Tigo walikata rufaa ya hukumu dhidi yao. Lini mahakama ilitoa hukumu ya rufaa yao? Any credible source?
Wabongo huwa tunaongea tu hiyo rufaa sio tu kwamba haijaanza kusikilizwa lakini hata majaji hawajapangwa.