Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
ndio maana nikasema humjui Mbowebillionea mbowe, ivi nyie mnadhan kua billionea ni kua KUB, duniani kuna mabilionea 1500 only! au unaongelea billionea wa tsh?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio maana nikasema humjui Mbowebillionea mbowe, ivi nyie mnadhan kua billionea ni kua KUB, duniani kuna mabilionea 1500 only! au unaongelea billionea wa tsh?
Hana ubilionea kwa tafsiri ya bilionea hata kama unamjuandio maana nikasema humjui Mbowe
Msukuma umemsahau, Billionea wa biashara ya mbuzi kawekeza Geita, Biharamulo na Kakonko Kigoma.Hapa nazungumzia mabilionea wenye uwekezaji hadi mashariki ya mbali na Ulaya siyo hawa wenye mabasi malori na guest houses.
Wote tunajua mabilionea Mo Dewji, Rostam Aziiz na Freeman Mbowe walikuwa wabunge na sasa wanaendelea na biashara zao huku wakichochea ukuaji wa uchumi kwa vitendo kupitia sekta binafsi ambayo ndio injini ya uchumi.
Je, kuna bilionea yoyote kabakia kule bungeni?
Ramadan Kareem!
Mahakama ilishatoa hukumu na Tigo kupewa tuzo ya ushindiMkuu nilitaka kushangaa kesi ya rufani imeisha haraka hivyo. Kesi zikiendaga mahaka ya rufaa hadi hukumu kutoka subiri miaka mingine mitatu na zaidi.
Mahakama ilishatoa hukumu na Tigo kupewa tuzo ya ushindi
AY alishakuja kukutana na MwanaFA na Albert Msando ili wafanye namna ya kurejesha mpunga wa Tigo!
Kwa vile ilikuwepo tangu na tangu ndo mnaemwita tajiri afanyie biashara zake pale bila kulipa kodi? Kweli bora uwe mgonjwa wa mwili kuliko kuwa mgonjwa wa akili.Lakini ukae ukijua kua ile bilikanas aliovunja mwenda wazimu wa kuzimu,ilikuwepo tangu na tangu.
Habari ndio hiyo bwashee!Sikusikia hiyo.
Consult you library chief.Nachojua Tigo walikata rufaa ya hukumu dhidi yao. Lini mahakama ilitoa hukumu ya rufaa yao? Any credible source?
ndio maana nikasema humjui Mbowe
Ukishakuwa masikini wa kurithi haya masuala huwezi kuelewa , hivi unafahamu kwamba Mbowe anayo mahotel hata nje ya nchi ?bahkresa mwenyewe sio billionea, he is a millionaire sasa acha kuchanganya mafaili. umaanisha bilionea wa tsh ama bilionea ligi ya mo dewji?
Ukishakuwa masikini wa kurithi haya masuala huwezi kuelewa , hivi unafahamu kwa Mbowe anayo mahotel hata nje ya nchi ?
Ukishakuwa masikini wa kurithi haya masuala huwezi kuelewa , hivi unafahamu kwa Mbowe anayo mahotel hata nje ya nchi ?
Mbowe bilionea?
Itakuwa moja kati ya promo wa Mwenyekiti wa kudumu daima milele.. Mh Mbowehuyu dogo amevurugwa, cha ajab anamuweka kwenye ligi ya mo dewji, nashindwa kuelewa ili kukidhi vigezo vya kujiunga chadema unatakiwa upate elimu ya aina gan
Ukishakuwa masikini wa kurithi haya masuala huwezi kuelewa , hivi unafahamu kwa Mbowe anayo mahotel hata nje ya nchi ?
😂 😂 kwan kuna uchaguzi mwingine? nijiandae kwenda mlimani city mapema, maaana nlikuaga na kadi ya chadema kabla sjahamagaItakuwa moja kati ya promo wa Mwenyekiti wa kudumu daima milele.. Mh Mbowe
Wewe tahira nyamaza. Mbowe kazaliwa familia ya kitajiri sio kama huko kwenu mnalogana ndo mpate pesa.Kwanza nikurekebishe Mbowe hana sekta yoyote ya halali na ya maana kumuingizia pesa zaidi ya sekta hii ya kuwatumia nyumbu na wanywa viloba kama daraja la kufikia mafanikio yake. Hata hawa wanaomtetea humu wengi wamekubali kuuza utu wao kwa sababu ya tamaa za matumbo yao.
Nachukua nafasi hii kuachana na wewe na kukudharau moja kwa moja katika kipindi chako chote kifupi kilchosalia hapa duniani .😂 ivi uko timam wewe? kua na hoteli nje ya nchi ndo kua billionea? ndo maaana nkakuuliza ni billionea wa tsh ama ligi ya mo dewji, maaana mpaka tunaongelea apa saaahv mo dewji ndo tajiri wa kwanza na bilionea pekee afrika masharika na kati, na pia ujue rostam sio billionea ni millionaire! yaani ukitaka kua na status ya billionea maaana yake una networth ya kuanzia trillion 2 za kitanzania, sasa wewe umeona kua na hoteli nje ndo amefika trillion 2? ivi hio ofisi yenu apo ufipa hua mnajadili nn haswa?