amount
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 342
- 553
Bungeni amebaki billionea msukuma na billionea MwanaFA ingawa juzi kati huyo mwanaFA Tigo wamemtapisha billion zote walizomlipa.
Duuh hyo ikoje mkuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bungeni amebaki billionea msukuma na billionea MwanaFA ingawa juzi kati huyo mwanaFA Tigo wamemtapisha billion zote walizomlipa.
Naomba kujua zaidi kuhusu hili mkuuBungeni amebaki billionea msukuma na billionea MwanaFA ingawa juzi kati huyo mwanaFA Tigo wamemtapisha billion zote walizomlipa.
Naona unajaribu kutuaminisha kuwa Mbowe ni miongoni mwa mabilionea ila sema tu hatambuliki hivyo hapa nchini kwakuwa amewekaza Ulaya na Mashariki ya Mbali.Hapa nazungumzia mabilionea wenye uwekezaji hadi mashariki ya mbali na Ulaya siyo hawa wenye mabasi malori na guest houses.
Wote tunajua mabilionea Mo Dewji, Rostam Aziiz na Freeman Mbowe walikuwa wabunge na sasa wanaendelea na biashara zao huku wakichochea ukuaji wa uchumi kwa vitendo kupitia sekta binafsi ambayo ndio injini ya uchumi.
Je, kuna bilionea yoyote kabakia kule bungeni?
Ramadan Kareem!
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Kwanza nikurekebishe Mbowe hana sekta yoyote ya halali na ya maana kumuingizia pesa zaidi ya sekta hii ya kuwatumia nyumbu na wanywa viloba kama daraja la kufikia mafanikio yake. Hata hawa wanaomtetea humu wengi wamekubali kuuza utu wao kwa sababu ya tamaa za matumbo yao.
Mbn unaongea chakula cha kuku wewe..sawa mbowe sio billionaire billionaire Ni wewe..[emoji23] ivi uko timam wewe? kua na hoteli nje ya nchi ndo kua billionea? ndo maaana nkakuuliza ni billionea wa tsh ama ligi ya mo dewji, maaana mpaka tunaongelea apa saaahv mo dewji ndo tajiri wa kwanza na bilionea pekee afrika masharika na kati, na pia ujue rostam sio billionea ni millionaire! yaani ukitaka kua na status ya billionea maaana yake una networth ya kuanzia trillion 2 za kitanzania, sasa wewe umeona kua na hoteli nje ndo amefika trillion 2? ivi hio ofisi yenu apo ufipa hua mnajadili nn haswa?
Wivu tuu [emoji23][emoji23]Mbowe ubilionea wake umetokea wapi?
Consult you library chief.
Ngoja nitakutafutia ila tatizo link hawaruhusu humuSikusikia mkuu. Noma sana.
Hahaaaa ila hana njaa yule kwa sasaTigo wameshinda rufaa hao jamaa walikua hawajasajili nyimbo yao walikuwa wamesajili majina yao tu.
Billionare MwanaFA anatapishwa mzigo mbele ya pilato.Sikusikia mkuu. Noma sana.
Haya ni mazungumzo ya vijiweni? Kujua na kutojua haina tija!Hapa nazungumzia mabilionea wenye uwekezaji hadi mashariki ya mbali na Ulaya siyo hawa wenye mabasi malori na guest houses.
Wote tunajua mabilionea Mo Dewji, Rostam Aziiz na Freeman Mbowe walikuwa wabunge na sasa wanaendelea na biashara zao huku wakichochea ukuaji wa uchumi kwa vitendo kupitia sekta binafsi ambayo ndio injini ya uchumi.
Je, kuna bilionea yoyote kabakia kule bungeni?
Ramadan Kareem!
We upo kwenye kundi gani?billionea mbowe, ivi nyie mnadhan kua billionea ni kua KUB, duniani kuna mabilionea 1500 only! au unaongelea billionea wa tsh?
Billionare MwanaFA anatapishwa mzigo mbele ya pilato.
View attachment 1751973
View attachment 1751974
Hahaha Meko Chali kuleee PambavuJamaa alijipanga sn
Mkuu hii nilisikia, kama hii ndo unaongelea then bado kabisa kurudisha mpunga.
Kina FA na AY walikata rufaa pia kupinga uamuzi huu so kesi bado ipo tena mahakama ya rufaa.
FA alitolea ufafanuzi the very next day Dec 8, 2020 baada tu ya huu uamuzi wa mahakama, naweka link hapa chini umsikie.
Hii hela hairudi na jamaa wataendelea kurushana huko rufani miaka na miaka.
Cc: johnthebaptist
King MsukumaHapa nazungumzia mabilionea wenye uwekezaji hadi mashariki ya mbali na Ulaya siyo hawa wenye mabasi malori na guest houses.
Wote tunajua mabilionea Mo Dewji, Rostam Aziiz na Freeman Mbowe walikuwa wabunge na sasa wanaendelea na biashara zao huku wakichochea ukuaji wa uchumi kwa vitendo kupitia sekta binafsi ambayo ndio injini ya uchumi.
Je, kuna bilionea yoyote kabakia kule bungeni?
Ramadan Kareem!
Alishasema ana company ndugu pitia post zake nje ya boxAlimaanisha Ngorongoro crater
Sio rufaa mzee bali ni mapitio ya rufaa.
Tafuta judgment zote usome utaona ni wazi wajomba wanatemeshwa mzigo live.
Soma judgements mzee.Umemsikiliza FA Kwenye video?