Baada ya kutoka Mo Dewji, Rostam Aziz na Freeman Mbowe kuna Bilionea gani aliyebaki Bungeni?

Baada ya kutoka Mo Dewji, Rostam Aziz na Freeman Mbowe kuna Bilionea gani aliyebaki Bungeni?

Kuna Gwiji humo linaitwa kishimba lina viwanda Zimbabwe na South Africa.Unaambiwa matajiri wakubwa unaowaona kanda ya Ziwa nusu wametokana na Kishimba.
 
Nachukua nafasi hii kuachana na wewe na kukudharau moja kwa moja katika kipindi chako chote kifupi kilchosalia hapa duniani .

Bali kwa faida yako na wengine jitahidi kujua Mbowe ni nani , hiki ndicho kilichomshinda Magufuli , alidhani kumfungia akaunti za kibwege za mabenki ya ndani angemmaliza matokeo yake kaisha yeye

si ndo maaana mnaitwa nyumbu we ulidhan walikosea 😂 😂
 
kwa maneno machache status ya billionea ni kama hii apa
View attachment 1751955
- huyu ana makampuni zaidi ya 100 nje ya nchi, na ndan ya nchi ndo hayahesabiki, anatoa ajira kwa watu zaidi ya 20,000 wote wanakaa ofisini wanapokea mshahara kila mwezi kutoka kwake, ni tafauti na huyo anaefanya biashara ya ruzuku
Wafanyakaz wake wanalala njaa mtu basi huyo muone hivyo hivyo
 
Mbn unaongea chakula cha kuku wewe..sawa mbowe sio billionaire billionaire Ni wewe..

east and central africa billionea ni mmoja tu aisee nyie wadada wa ndan wa mbowe, mna mapenzi ya dhati kwa mbowe wakati ana mke na watoto ambao wanasomeshwa na ruzuku
 
Soma judgements mzee.

Mkuu naamini unajua muundo wa mahakama yetu, hakuna judgement ambayo haiwezi kukatiwa rufaa. Hakuna.

Mahakama kuu ilisema Mahakama ya Wilaya ambayo ndo ilitoa uamuzi jamaa walipwe haina uwezo wa kutoa hukumu hiyo. Kina FA, AY na Msando wakapeleka kesi rufani.

Mahakama ya rufaa nachojua bado haijatoa uamuzi wa kesi hii let alone kupanga majaji wa kuisikiliza hii kesi kama ambavyo mkuu BLACK MARXIST kasema.

Kwa mlundikano wa kesi rufani hadi hii kesi isikilizwe itachukua si chini ya miaka mitatu.

Hakuna mahala popote pale napopata taarifa za uamuzi wa kesi hii wa mahakama ya rufani ambaye ndo muamuzi wa mwisho.
Wewe unachoongelea ni habari za mahakama kuu sio rufani.

cc: johnthebaptist
 
Ila kwa mm nasema hivi nikiwa mwana CCM ila Mbowe anahitaji heshima ya pekee,, kufanyiwa figisu zote zile funga miladi yake lakini jamaa kawa mstari wa mbele kutetea chama bila kutingishika,,
Heshima kwako!!! Mbowe
 
Acha kukaza fuvu wewe. Kesi bado ipo Court of Appeal.
Ndiyo kesi ipo ila court of appeal hakuna aliyebish walishatoa hukumu.
Kinachoendelea ni marejeo ya rufaa yaliyoombwa na kina ay baada ya kushindwa rufaa hiyo.
Kwahiyo nawashauri badala ya kupaparika hapa kasomeni hukumu ya kwanza, na hukumu ya rufaa ili muone mwanga kifuatacho baada ya hayo marejeo ya rufaa ambayo bado yapo court of appeal.
 
Ndiyo kesi ipo ila court of appeal hakuna aliyebish walishatoa hukumu.
Kinachoendelea ni marejeo ya rufaa yaliyoombwa na kina ay baada ya kushindwa rufaa hiyo.
Kwahiyo nawashauri badala ya kupaparika hapa kasomeni hukumu ya kwanza, na hukumu ya rufaa ili muone mwanga kifuatacho baada ya hayo marejeo ya rufaa ambayo bado yapo court of appeal.
Sasa ulivokua unashupalia eti kina mwana FA wameshapukutishwa 2.1 B zote walizopewa, ulikua una take dump in your master bedroom toilet?
 
Riz1 tu hakuna billionaire mwingine mjengoni,,

Msoga fc kama kawa
 
Sasa ulivokua unashupalia eti kina mwana FA wameshapukutishwa 2.1 B zote walizopewa, ulikua una take dump in your master bedroom toilet?
Mahakama ya rufaa imeshatoa hukumu ya rufaa kuwa ay na fa wamedondokea pua, hili inabidi ukubali.
On top of that ay na fa wameomba marejeo ya hukumu ya rufaa hiyo kitendo ambacho bado kipo on process makamani .
Kuna ugumu gani hapa kuona nani kashindwa hii kesi!
 
Hapa nazungumzia mabilionea wenye uwekezaji hadi mashariki ya mbali na Ulaya siyo hawa wenye mabasi malori na guest houses.

Wote tunajua mabilionea Mo Dewji, Rostam Aziiz na Freeman Mbowe walikuwa wabunge na sasa wanaendelea na biashara zao huku wakichochea ukuaji wa uchumi kwa vitendo kupitia sekta binafsi ambayo ndio injini ya uchumi.

Je, kuna bilionea yoyote kabakia kule bungeni?

Ramadan Kareem!
Mbowe nae bilionea ?
 
Kwanza nikurekebishe Mbowe hana sekta yoyote ya halali na ya maana kumuingizia pesa zaidi ya sekta hii ya kuwatumia nyumbu na wanywa viloba kama daraja la kufikia mafanikio yake. Hata hawa wanaomtetea humu wengi wamekubali kuuza utu wao kwa sababu ya tamaa za matumbo yao.
Pole sana, mama kakunyoosha mpaka unatapika!
 
Kwanza nikurekebishe Mbowe hana sekta yoyote ya halali na ya maana kumuingizia pesa zaidi ya sekta hii ya kuwatumia nyumbu na wanywa viloba kama daraja la kufikia mafanikio yake. Hata hawa wanaomtetea humu wengi wamekubali kuuza utu wao kwa sababu ya tamaa za matumbo yao.
Acha upoyoyo
 
😂 ivi uko timam wewe? kua na hoteli nje ya nchi ndo kua billionea? ndo maaana nkakuuliza ni billionea wa tsh ama ligi ya mo dewji, maaana mpaka tunaongelea apa saaahv mo dewji ndo tajiri wa kwanza na bilionea pekee afrika masharika na kati, na pia ujue rostam sio billionea ni millionaire! yaani ukitaka kua na status ya billionea maaana yake una networth ya kuanzia trillion 2 za kitanzania, sasa wewe umeona kua na hoteli nje ndo amefika trillion 2? ivi hio ofisi yenu apo ufipa hua mnajadili nn haswa?
Bwana wewe huna hela tulia basi!
 
Back
Top Bottom