Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo chengeHapa nazungumzia mabilionea wenye uwekezaji hadi mashariki ya mbali na Ulaya siyo hawa wenye mabasi malori na guest houses.
Wote tunajua mabilionea Mo Dewji, Rostam Aziiz na Freeman Mbowe walikuwa wabunge na sasa wanaendelea na biashara zao huku wakichochea ukuaji wa uchumi kwa vitendo kupitia sekta binafsi ambayo ndio injini ya uchumi.
Je, kuna bilionea yoyote kabakia kule bungeni?
Ramadan Kareem!
Mwana Fa alifanikiwa kuzirudisha pesa zote?Bungeni amebaki billionea msukuma na billionea mwanaFA ingawa juzi kati huyo mwanaFA Tigo wamemtapisha billion zote walizomlipa.
Pesa zote huzipeleka kwa MUNGU alafu anabakiwa na chenchi,hizo ndio anazitumia.Hivi Gwajima yule anayefufuaga wafu hawezi kuwa bilionea?
Maana nasikiaga eti sadaka za pale kwa ibada moja tu ni magunia ya hela bado makanisa yake mikoani na uuzwaji wa vitabu vyake pia au hizo hela anazipelekaga mbinguni?
Juzi kati ameshindwa kwenye rufaa so sijajua kama kafanikiwa kurejesha zoteMwana Fa alifanikiwa kuzirudisha pesa zote?
Ni mbunge wa wap?Yupo chenge
Huyu mwamba Jiwe alipoingia madarakani alikuta anaidai serikali bilion 28 jiwe akataka agome kumlipa ila jamaa yupo smart sana maana walikuta anadai kihalali kbc.amebaki Sylvestry Francis Koka mbunge wa kibaha na mmiliki wa makampuni ya AKO Group Limited
Ni mbunge wa wap?
Wameiba hadi spika na microphoneWakambomolea bills sijui walimlipa?
Aliyeharibu shamba la kisasa la Mbowe hakuwa Sabaya , yeye alikuwa anaitwa Byakanwa , baada ya hapo akapandishwa na kuwa RC wa Mtwara , Magufuli aliwapandisha vyeo wote waliovunja sheria ili kumfurahishaUkiongelea kuhusu kuharibu mashamba, picha inayonijia ni yule jambazi mpumbavu Sabaya,lazima alipwe sawa sawa na matendo yake
una miaka mingapi ?Mbowe ubilionea wake umetokea wapi?
Hivi Askofu Rashid ameanza mfungo?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Askofu Rashid [emoji23][emoji23][emoji23]
una miaka mingapi ?
basi utakuwa mkazi wa Kongwa
basi utakuwa mkazi wa Kongwa
Wakati namtaja Mbowe kama mmoja wa mabilionea duniani kuna makapuku wengi wa CCM walinipinga , sasa naona wengi mmekwishasoma alama za nyakati .
Anatoa sadaka kuzimuHivi Gwajima yule anayefufuaga wafu hawezi kuwa bilionea?
Maana nasikiaga eti sadaka za pale kwa ibada moja tu ni magunia ya hela bado makanisa yake mikoani na uuzwaji wa vitabu vyake pia au hizo hela anazipelekaga mbinguni?
Unamfahamu/ ushawahi kumsikia mzee Aikaeli mbowe?Mbowe si tulihubiriwa kwamba anakula ruzuku za chama? Kawa billionaire tena? Nchi hii