Baada ya kutoka Mo Dewji, Rostam Aziz na Freeman Mbowe kuna Bilionea gani aliyebaki Bungeni?

Baada ya kutoka Mo Dewji, Rostam Aziz na Freeman Mbowe kuna Bilionea gani aliyebaki Bungeni?

Hapa nazungumzia mabilionea wenye uwekezaji hadi mashariki ya mbali na Ulaya siyo hawa wenye mabasi malori na guest houses.

Wote tunajua mabilionea Mo Dewji, Rostam Aziiz na Freeman Mbowe walikuwa wabunge na sasa wanaendelea na biashara zao huku wakichochea ukuaji wa uchumi kwa vitendo kupitia sekta binafsi ambayo ndio injini ya uchumi.

Je, kuna bilionea yoyote kabakia kule bungeni?

Ramadan Kareem!
Yupo chenge
 
Hivi Gwajima yule anayefufuaga wafu hawezi kuwa bilionea?
Maana nasikiaga eti sadaka za pale kwa ibada moja tu ni magunia ya hela bado makanisa yake mikoani na uuzwaji wa vitabu vyake pia au hizo hela anazipelekaga mbinguni?
Pesa zote huzipeleka kwa MUNGU alafu anabakiwa na chenchi,hizo ndio anazitumia.
 
Ukiongelea kuhusu kuharibu mashamba, picha inayonijia ni yule jambazi mpumbavu Sabaya,lazima alipwe sawa sawa na matendo yake
Aliyeharibu shamba la kisasa la Mbowe hakuwa Sabaya , yeye alikuwa anaitwa Byakanwa , baada ya hapo akapandishwa na kuwa RC wa Mtwara , Magufuli aliwapandisha vyeo wote waliovunja sheria ili kumfurahisha
 
Askofu Rashid [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi Askofu Rashid ameanza mfungo?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Back
Top Bottom