Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tuliwaonya mapema tuCCM katika ubora wake
Tunaanza kuisoma namba siku ya kwanza tu?
Na hela ya Vitambulisho walishapigwa au siyo
Ohoooo!!Na hela ya Vitambulisho walishapigwa au siyo
Mlipowauzia vitambulisho mbona hamkuwakumbusha haya ?Wamachinga wametumikaje?
Dodoma ni jiji linalojengwa kwa sasa kuna ubaya gani wamachinga kuondoka hizo sehemu pengine ili kupisha maboresho?
Kweli lakini hayakuwepo kwenye ilani ya CCMWamachinga wametumikaje?
Dodoma ni jiji linalojengwa kwa sasa kuna ubaya gani wamachinga kuondoka hizo sehemu pengine ili kupisha maboresho?
Pole sana dada uchaguzi umeisha na Mbelgiji kawakimbia baada ya kukipa chama mbunge mmoja.Mlipowauzia vitambulisho mbona hamkuwakumbusha haya ?
na bado picha kamili halijaanza.Tunaanza kuisoma namba siku ya kwanza tu?