Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
CCM ni ile ile maana yake ndio hiyo, wacha waisome namba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa umoja wetu na sisi wamachinga wa Dodoma tunaomba tuhamishiwe chini ya ofisi ya Rais
Kwani wewe unafurahi hawa wakiweka vibanda sehemu ya watu wanaopita kwa miguu? Kariakoo watu wanagongwa sababu ya hawa jamaa.
Barabara msimbazi pale wamachinga wanakaa mpaka barabarani,aise waondolewe chapBado wa kariakoo nao wasepe
Ikulu pekee ndio hawawezi kufanya ujinga huo.Ila machinga nao wanakuwa kama hawana akili kabisa hebu angalia hapa mwanza wanavyolazimisha kuuzia mpaka kwenye high way
Huyo alietangaza hvo anachezea kibarua chake.hawajui machinga eeh
Piga spana
Vitambulisho havina kazi tena
Barabara msimbazi pale wamachinga wanakaa mpaka barabarani,aise waondolewe chap
Ova