Baada ya kutunisha misuli na kauli za mikwara, hatimaye Tanzania imekubali kuachia korosho kwa kampuni ya Kenya

Its called Market intervention, You posture, raise the price then dump to kenya.
I saw TZ do this with maize ban in 2015, the situation was so desperate that a bag was selling at ksh4000! Then suddenly TZ dumped..
 
Produce yenu ni 270,000 tonnes.
Yote huuzwa nje.
Kampuni ya Kenya ina uwezo tu wa kununua 100,000 tonnes. Kwa hivyo hivi karibuni ngoja habari ingine kwamba kampuni ingine imenunua.
Nipe chanzo cha habar yako.korosho moja wa Pwani wala hata haijauzwa bado.mkoa mmoja tu wa mtwara unatoa mzigo wa adabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Its called Market intervention, You posture, raise the price then dump to kenya.
I saw TZ do this with maize ban in 2015, the situation was so desperate that a bag was selling at ksh4000! Then suddenly TZ dumped..

Its called unilateral roadside declarations.
The farmers got less money than they would had Magufuli let market forces dictate.
 
Suala kubwa hapo ni kwamba wamenunua kwa shs ngapi kwa kilo.
Kilio kikubwa kilikuwa ni kiwango cha Tshs 3,000 kwa kilo ambacho serikali haikukubaliana na wanunuzi wa mwanzo.
 
Its called unilateral roadside declarations.
The farmers got less money than they would had Magufuli let market forces dictate.
Farmers were being given TZS 1500, Magufuli pumped the price to TZS 3300 minimum..Suddenly the world price went up, now its TZS 3850. The JWTZ gets a cool TZS 500 for their efforts to collect the produce and everyone get paid..Genious
 
Farmers were being given TZS 1500, Magufuli pumped the price to TZS 3300 minimum..Suddenly the world price went up, now its TZS 3850. The JWTZ gets a cool TZS 500 for their efforts to collect the produce and everyone get paid..Genious

This is the chronology of events.

1. Kenyan company offers Tsh3,500 per tonne (bids for 100,000 tonnes)
2. Indian company offers Tsh3,800 per tonne (bids for 30,000 tonnes)
3. Magufuli bans private buyers
4. Magufuli buys from farmers at Tsh 3,300 per tonne

Don't twist facts. Magufuli bought from farmers for less than they were being offered by Kenya and India.

Go read here - Indian firm wanted to buy cashews from Tanzania for Sh3,800 per

And you have brought no evidence on how much Magufuli has sold to the Kenyan company.
 
Safi..Nasikia bei ni TZS 3800? Hapa JPM amewashika mak*nde..Biashara iendelee
Boss, kuna gharama za uhakiki, gharama za usafiri (last time nilisikia magari ya jeshi yangetumika kuzisomba), gharama za uhifadhi, depreciation, ushuru plus plus plus... Unaweza kuta serikali ndo imeingiliwa
 
Nani atawaokoa wakulima wa Tanzania? Thamani ya faida ya jasho lao iliamuliwa na mzee wa mikwara, hivi leo wengi wao wangekuwa wameingiza Tzshs 3,800(India) na 3,500(Kenya) badala ya 3,300(GoT) kwa kila kilo. Tena bila ya kuwaingiza wavunja matofali kwenye hasara ya kusafirisha, kubangua na kutunisha misuli bure.
 
KAMPUNI YENYEWE INAMILIKIWA NA WAHINDI SIJUI NYANGAU YANASHABIKIA NINI
 
Magufuli openly invited all traders inside and outside TZ to bid for the nuts and gave a deadline with a minimum 3,300 TZS any one who never submitted was locked out and the millitary took over. This after traders gave a mere TZS 1500 per kg that made farmers angry
Now the price is up and everyone wants to buy! At the end of the day, everyone wins, the farmer was rescured from a 1500 price and GOT gets to pay itself for the effort of collecting the nuts..
Genious!!
 
Inaonekana uelewa wako mdogo sana wewe MK254 Hiyo Kampuni inanunua toka Serikalini siyo kwa wakulima. Serikali ndiyo inanunua toka kwa wakulima then inauza. Hivyo hiyo Kampuni yenu inanunua kwa zaidi ya TZS3,300/= au wewe ulifikiri Serikali inanunua toka kwa wakulima then inazichoma moto! You need to be matured bob!!!
 
Are you Indian? We don't care anyway!! Endelea na unyang'au wako huko!
 
Jinga wewe, kwahiyo Magufuli aliamua kununua korosho baada ya makampuni kutoa bei kubwa kuliko iliyopangwa na serikali, kwa akili za namna yako mtaendelea kutandikwa na Alshabab kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao nyang'au wamepewa hizo korosho bure au?
 
Tuna kichaa pale Ikulu hajui atendalo walimsukumizia tu Ikulu sasa anaivuruga nchi kwa kiwango cha kutisha.

 

Mlisema mtajitafutia soko nje, hamtashughlika na haya makampuni, mkazima hata waziri mkuu alipojaribu kusema.
Leo mumerudi kwa hayo hayo makampuni.
 
Na kwani LDC haina kampuni inayoweza kununua hizi korosho na kufanya processing?
Kama sio Kenya mngekuwa wapi?
Zipo nyingi sana, hata wewe ukitaka unaanzisha minimum ni uwezo wa kununua tani 20 (I stand to be corrected).

However, usichanganye mambo. Sababu kubwa ya kukataa kampuni binafsi zisinunue hata kwa bei waliyoitaja, ni safety net. Msimu wa mvua ulikuwa unakaribia na wanunuzi huwa wanakuwa na issues sana mvua zikianza na hukataa kukusanya au hubadili bei na kupunguza kutokana na gharama za usafiri na unyevu kwenye korosho.

You think they won? Not really, that's 4200/kg and 75 bn Shs margin to the Government of The United Republic of Tanzania. Do your math and come holla at me!

NB: I was really tempted to say that B-word at the end, But I thought, nah!
 
Watanzania Badala ya kuona wapi tunakosea tunakazana kuponda Wakenya huu ndio UJINGA mkubwa Sana. Wenzenu Madini wanachukua tz Wanasema yanatoka Kenya, now korosho wanachukua wanapark Vizuri wanauza nje wanaandika made from Kenya .wakenya wako intelligent Sana. Wanaona fursa kwa jirani wanaexploit it.. Sasa Nyie wabongo Endeleeni kupiga tu UJINGA hapa Badala ya kuwa na watu smart wa kusaidia nchi hii kuwa kitovu cha export final products Nyie mnakazana kuongea UJINGA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…