Pre GE2025 Baada ya kuvuja taarifa za Sugu kuendelea kushikiliwa, aachiwa Mchana huu Dar, kapigwa sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni Mtanganyika au Mzanzibar? Nijuzeni
 
Ndio maana askari nami ni maadui wakubwa, huwa nikipata upenyo nadhani wananijua.
Ipo siku nisipoua askari labda sio mimi
 
Magufuli alitumia sayansi ya siasa, hakutaka machafuko na dhoruba ndio maana akasimamisha shughuli za kisiasa zibaki za majimboni ili kuwanusuru wapinzani na hizi kadhia za polisi.
JPM alikuwa kichwa haswaa..sasa hivi tunalazimishwa kujadili upuuzi badala ya mambo ya msingi yenye faida kwa Taifa.
 
Aiseee
 
Uchawa ndiyo shida
Maridhiano na mbowe no longer an issue aliacha msitutoe kwenye reli wenye chuki na mbowe. Tuzungumzie current
Mimi ni mwana mageuzi kwa taarifa Yako. Mbowe ni shida ukienda stand kuu Moshi Kuna bango kubwa hapo likionesha nyie na mama Samia ni damu damu Leo anawapiga virungu mnalalamika.
 
Sugu ni mkora. Anaweza kapigwa kwani majibu ya ovyo na dharau kwa polisi hua hawastahimili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…