Pre GE2025 Baada ya kuvuja taarifa za Sugu kuendelea kushikiliwa, aachiwa Mchana huu Dar, kapigwa sana

Pre GE2025 Baada ya kuvuja taarifa za Sugu kuendelea kushikiliwa, aachiwa Mchana huu Dar, kapigwa sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.

Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia

Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Ushahidi wa kupigwa na kuumizwa yeye uko wapi ?!!!

Msemaji ni wewe...
Muaminishaji ni wewe...
Mtendaji ni wewe....
Hakimu ni wewe....

Uzwazwa huu
 
Yote hayo ni ujinga wenu na mlitakiwa kuwaonyesha shoo yakufa mtu asikari wenu mngechoma kayazao ....mnajifanya wastaarabu ngoja wawape shooo
 
Magufuli alitumia sayansi ya siasa, hakutaka machafuko na dhoruba ndio maana akasimamisha shughuli za kisiasa zibaki za majimboni ili kuwanusuru wapinzani na hizi kadhia za polisi.
 
Naona tunatengeneza taifa la visasi tu.
Ni upuuzi huu uliofanywa na Awadhi... aliyeaminiwa na kupewa dhamana.
 
Ifike muda hawa polisi wanaopiga watu kinyume na sheria kushtakiwa binafsi kwa jina lake! Adabu itarudi atakapobeba msalaba wake na familia yake kama wanavyofanya Marekani! Huu mchezo hautaisha kwa maombi na toba kamwe!
 
Polisi Tz wangeli simama kama polisi halafu CCM isimame kama CCM then Chadema pia isimame kama Chadema hapo tungelishuhudia siasa zakweli na ushidani ungelikua mkubwa mnoo nchi ingelikua na maendeleo pia kutokana na ukiwa madarakani ukiharibu ujue msimu wa uchaguzi haurudi tena kuwa kiongozi. Kama nchi tungelipiga hatua.
Uchawa ndiyo shida
Nani alaumiwe kwa hili?. Ni Mbowe na sera zake mbovu za maridhiano.
Maridhiano na mbowe no longer an issue aliacha msitutoe kwenye reli wenye chuki na mbowe. Tuzungumzie current
 
Tusiwe kama Sauti Ya Watanzania kushinda Club na porojo tu,lawama ya mbowe,hakuna tija kwenye field.
 
Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.

Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia

Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Tulia Akson Mwansasu
 
Nafikiria baada ya vipigo Lissu na yale mavyuma mwilini si watakuwa wamemuua kabisa masikini.
Kwa nguvu za Yehova atakuwa Mzima. Najua kila akiyeinua Kofi, teke, bunduki kuwaelekezea watu wale 520 Roho wa Mungu anawasuta. Na kama ni wakristo najua wanajitahidi kutubu halafu Mungu kaziba masikio mpaka watubu hadharani.
 
Imenilazimu nirudi haraka kwenye mada hii, kwani akili iliendelea kuganda tu hapa baada ya kuondoka.

Nampa pole sana Sugu kama kaumizwa, na Mungu amponye hayo maumivu; kwani kazi iliyo mbele ndiyo kwanza imeanza hii.

Nimerudi kwa sababu bado nilikuwa na mashaka juu yake na haya maswala ya kuvurugwa na akina Abdul, na hawa wanaojipachika "Uchungaji".

Naamini maumivu haya ndilo tanuri la moto mkali litakalo imarisha azma ya kuyaondoa haya katika jamii ya waTanzania.

Sasa, kama kuna kazi kuanza, hiki ndiyo kipenga cha ishara ya kazi hiyo kufanyika bila kupumzika hadi ukombozi upatikane.
Kusiwepo na visababu au lelemama tena ndani ya CHADEMA. Mkanganyiko umekwisha!
MSIGWA + TULIA = MAUMIVU Kwa watu wasio na hatia
 
Yes, ili akukomboe wewe na bwana wako kwenye utumwa wa fikra.
Watavuna wanachopanda wao na vizazi vyao. Wanaowatumikia wanalipwa mamilioni wanaotesa watu zikizidi laki 4. Wanamtesa Mtanganyika mwenzao. Hivi ni polisi wa Tanganyika au wametoka sehemu nyingine?
 
Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.

Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia

Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Sijawahi kujua kuwa
Pascal Mayalla ni mtu wa ajabu kiasi hiki
Una like nini labda?
 
Back
Top Bottom