Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote,
Sio sawa kabisa, bilionea apewe nauli fasta arudi home
Apewe nauli ya nini huyo? Si ni bilionea? Kwanza ilitakiwa wakati anatoka awachane askari maskini (kwa maelezo ya Erythrocyte) tumilioni tuwilituwili wakajinome! Ahahahahaha!!Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.
Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia
Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Maagizo ya Tulia anayedai Mbeya ni jimbo lake la uchaguzi, tutashuhudia mengi zaidi kwani Tulia hupenda kutumia hela kuwarubuni vijana.Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.
Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia
Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Wewe ni mjinga
Eh!😞😞Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.
Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia
Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Akili mtu wangu, bora kuwa maskini ila ukawa akiliMaccm mkae mkijuwa Sugu ni rafiki wa Balozi wa Marekani Tanzania.
Sasa subilini kibano chenu.
Huyu Mzanzibari atawanyoosha mpaka mkae sawa..Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.
Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia
Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Huna akiliWewe ni stupid wa mwisho, unaona jambo tu mtandaoni, hujathibitisha, eti sbb fulani kaandika, hujathibitisha, unapost hovyo, pumbaf kabisa, eti kapigwa sana, unajua mtu aliyepigwa sana, Polisi sio wajinga hivyo kupiga piga watu hovyo, acha kabisa kuchukua taarifa zisizo sahihi na kusambaza hovyo hovyo, eti Polisi wamempiga sana, hivi umeona polisi ni watu wasio na akili kabisa? Yaani wapige pige watu na kuumiza tu, Polisi nao ni binadamu, na hawawezi piga piga sana watu, acheni kuchafua polisi plz plz, tena koma, ingekuwa Sugu mwenyewe kasema na kuonyesha kapigwa sanaa wapi, ingeonekana, ila wewe kazi yako kuchafua jeshi la polisi bila sababu yoyote
Awadh ni kati ya wala rushwa wakubwa ndani ya polisi.Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.
Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia
Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Mtamlipa nani?Kila ubaya utalipwa
Mbona wewe hawakukupiga? Kumbe wewe ni Kamanda wa kwenye mitandao tu!!Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.
Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia
Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Hata Mbeya hukuenda wenzako wanapata kipigo cha mbwa koko wewe umejificha kwenye social media tu!Kila ubaya utalipwa
RAV44R😃😃