Pre GE2025 Baada ya kuvuja taarifa za Sugu kuendelea kushikiliwa, aachiwa Mchana huu Dar, kapigwa sana

Pre GE2025 Baada ya kuvuja taarifa za Sugu kuendelea kushikiliwa, aachiwa Mchana huu Dar, kapigwa sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote,

Screenshot_2024-08-13-15-05-00-1.png
Sio sawa kabisa, bilionea apewe nauli fasta arudi home
 
Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.

Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia

Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Apewe nauli ya nini huyo? Si ni bilionea? Kwanza ilitakiwa wakati anatoka awachane askari maskini (kwa maelezo ya Erythrocyte) tumilioni tuwilituwili wakajinome! Ahahahahaha!!
 
Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.

Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia

Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Maagizo ya Tulia anayedai Mbeya ni jimbo lake la uchaguzi, tutashuhudia mengi zaidi kwani Tulia hupenda kutumia hela kuwarubuni vijana.
 
Wewe ni mjinga


Wewe ni stupid wa mwisho, unaona jambo tu mtandaoni, hujathibitisha, eti sbb fulani kaandika, hujathibitisha, unapost hovyo, pumbaf kabisa, eti kapigwa sana, unajua mtu aliyepigwa sana, Polisi sio wajinga hivyo kupiga piga watu hovyo, acha kabisa kuchukua taarifa zisizo sahihi na kusambaza hovyo hovyo, eti Polisi wamempiga sana, hivi umeona polisi ni watu wasio na akili kabisa? Yaani wapige pige watu na kuumiza tu, Polisi nao ni binadamu, na hawawezi piga piga sana watu, acheni kuchafua polisi plz plz, tena koma, ingekuwa Sugu mwenyewe kasema na kuonyesha kapigwa sanaa wapi, ingeonekana, ila wewe kazi yako kuchafua jeshi la polisi bila sababu yoyote
 
Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.

Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia

Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Eh!😞😞
 
Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.

Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia

Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Huyu Mzanzibari atawanyoosha mpaka mkae sawa..
 
Wewe ni stupid wa mwisho, unaona jambo tu mtandaoni, hujathibitisha, eti sbb fulani kaandika, hujathibitisha, unapost hovyo, pumbaf kabisa, eti kapigwa sana, unajua mtu aliyepigwa sana, Polisi sio wajinga hivyo kupiga piga watu hovyo, acha kabisa kuchukua taarifa zisizo sahihi na kusambaza hovyo hovyo, eti Polisi wamempiga sana, hivi umeona polisi ni watu wasio na akili kabisa? Yaani wapige pige watu na kuumiza tu, Polisi nao ni binadamu, na hawawezi piga piga sana watu, acheni kuchafua polisi plz plz, tena koma, ingekuwa Sugu mwenyewe kasema na kuonyesha kapigwa sanaa wapi, ingeonekana, ila wewe kazi yako kuchafua jeshi la polisi bila sababu yoyote
Huna akili
 
Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.

Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia

Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Awadh ni kati ya wala rushwa wakubwa ndani ya polisi.
Aliwahi kuchukua laki 3 zangu baada ya kumgonga mlevi maeneo ya Dar akiwa RTO bila aibu.
Amesababisha mkewe kuwa mlevi ktk Bar ya Hai Boko mangengeni kwa sababu ya pesa zilizomfanya awe malaya.
Mkew anaishi Mbweni Ubungo.

Huyu aliwekwa pembeni na Siro kwa sababu za uhayawani wake sasa dini imeshika hatamu
 
Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.

Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia

Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Mbona wewe hawakukupiga? Kumbe wewe ni Kamanda wa kwenye mitandao tu!!
 
Back
Top Bottom