CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Unafurahia sana watu wakiumizwa ?Picha jinsi alivyopigwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafurahia sana watu wakiumizwa ?Picha jinsi alivyopigwa?
Anajifanyaga mtemi, acha aonje jiweWakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.
Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia
View attachment 3068702
Una ushahidi?Lazima wengi wameuliwa na kutupwa hifadhi ya Katavi
Aliwahi kumtemishia nani?Anajifanyaga mtemi, acha aonje jiwe
Kuumizana ni sehemu ya Siasa vinginevyo Lowassa, Wangwe na Membe tungekuwanao leoUnafurahia sana watu wakiumizwa ?
Wewe ni nani wa kuniuliza ushahidiUna ushahidi?
Wewe unajifanya hujui utemi wake. Uchawa usikupofusheAliwahi kumtemishia nani?
Duuh, kumbe hao wote uliowataja wameuliwa na CCM !!!Kuumizana ni sehemu ya Siasa vinginevyo Lowassa, Wangwe na Membe tungekuwanao leo
Umetoa tuhuma za watu kuuliwa na kutupwa katavi.Wewe ni nani wa kuniuliza ushahidi
Wewe uko Siasani halafu unaogopa kufaDuuh, kumbe hao wote uliowataja wameuliwa na CCM !!!
Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.
Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia
View attachment 3068702Police mnatengeneza mazingira ya kuja kulipwa kisasi cha hali ya juu. Mnamkata mtu, mnampiga, mnamsafirisha kutoka Mbeya mnakuja kumwachia Dar, kisasi kikitokea kitakuwa na kishindo mara 100.
Mkuu, Naona kuna upungufu mkubwa katika namna CHADEMA inavyotumia majukwaa ya kidijitali, hasa katika utoaji wa matangazo ya moja kwa moja (live streaming) ya matukio muhimu. Matangazo haya yamekuwa adimu sana, jambo ambalo linafanya ionekane kama CHADEMA kinategemea zaidi vyombo vingine vya habari ili kufikisha ajenda zake kwa wananchi. Yule Mrema hana jipya tena.Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.
Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia
Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Wewe ni mjingaNani kasema kuwa kapigwa sana, ni huo ujumbe ndio umetumia na kuaminisha watu kuwa kapigwa sana..!! Hivi unajua kupigwa sanaa?
Tutaufanyia kazi ushauri wakoMkuu, Naona kuna upungufu mkubwa katika namna CHADEMA inavyotumia majukwaa ya kidijitali, hasa katika utoaji wa matangazo ya moja kwa moja (live streaming) ya matukio muhimu. Matangazo haya yamekuwa adimu sana, jambo ambalo linafanya ionekane kama CHADEMA kinategemea zaidi vyombo vingine vya habari ili kufikisha ajenda zake kwa wananchi.
Hilo la sumu hatutalipuuza, Jenista huwa anatumia pia ndumbahuyu ni TULIA ACSON ndio anacheza michezo yote hii! homera anatumika kukamilisha mipango ya Tulia! Jongwe apime uskute wamemuwekea sumu pia!
hii tabia hata Jenista Mhagama anaifanya huko Peramiho
Wengi wamefungwa na uchunguzi umeanza.Na walioua sahv paranja linawapitia wao
Ova
Malya alikuwa kijana wa Membe.Bazecha ndio mlimtuma Malya kule Mbande 🐼