Pre GE2025 Baada ya kuvuja taarifa za Sugu kuendelea kushikiliwa, aachiwa Mchana huu Dar, kapigwa sana

Pre GE2025 Baada ya kuvuja taarifa za Sugu kuendelea kushikiliwa, aachiwa Mchana huu Dar, kapigwa sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.

Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia

View attachment 3068702
Anajifanyaga mtemi, acha aonje jiwe
 
Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.

Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia

View attachment 3068702Police mnatengeneza mazingira ya kuja kulipwa kisasi cha hali ya juu. Mnamkata mtu, mnampiga, mnamsafirisha kutoka Mbeya mnakuja kumwachia Dar, kisasi kikitokea kitakuwa na kishindo mara 100.
 
Nani kasema kuwa kapigwa sana, ni huo ujumbe ndio umetumia na kuaminisha watu kuwa kapigwa sana..!! Hivi unajua kupigwa sanaa?
 
Wakati mwingine watu wanapolaumiwa kwa kulipa kisasi huwa tunawaonea tu, Unamkamata mtu kwao Mbeya unamficha Iringa, mnampiga sana halafu mnamsafirisha hadi ugenini Dar na kumwachia huru.

Polisi masikini mwenye mshahara duni anampiga Bilionea mwenye koneksheni ya Dunia bila sababu yoyote, kisa katumwa na ccm! Hakika hii Nchi yapo yanayokuja ambayo hakuna atakayeyazuia

Pia soma=> Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Mkuu, Naona kuna upungufu mkubwa katika namna CHADEMA inavyotumia majukwaa ya kidijitali, hasa katika utoaji wa matangazo ya moja kwa moja (live streaming) ya matukio muhimu. Matangazo haya yamekuwa adimu sana, jambo ambalo linafanya ionekane kama CHADEMA kinategemea zaidi vyombo vingine vya habari ili kufikisha ajenda zake kwa wananchi. Yule Mrema hana jipya tena.
 
Mkuu, Naona kuna upungufu mkubwa katika namna CHADEMA inavyotumia majukwaa ya kidijitali, hasa katika utoaji wa matangazo ya moja kwa moja (live streaming) ya matukio muhimu. Matangazo haya yamekuwa adimu sana, jambo ambalo linafanya ionekane kama CHADEMA kinategemea zaidi vyombo vingine vya habari ili kufikisha ajenda zake kwa wananchi.
Tutaufanyia kazi ushauri wako
 
huyu ni TULIA ACSON ndio anacheza michezo yote hii! homera anatumika kukamilisha mipango ya Tulia! Jongwe apime uskute wamemuwekea sumu pia!

hii tabia hata Jenista Mhagama anaifanya huko Peramiho
Hilo la sumu hatutalipuuza, Jenista huwa anatumia pia ndumba
 
Back
Top Bottom