Baada ya kuwapuuza wanachama hawa maisha yangu JF yameboreka sana

Baada ya kuwapuuza wanachama hawa maisha yangu JF yameboreka sana

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Unafungua JF unakuta notifications kumi na, unafungua kujua walioreply na kulike comments zako. Unaingia unakuta ni member mmoja kalike comments zako kumi! Si zako tu. Kalike thread nzima. Inakata stimu kabisa maana likes zenyewe siyo sincere.

Basi kwa shingo upande ikanilazimu kuwaignore members wote wenye tabia ya kulike thread nzima.

Experience yangu JF imeboreka sana.
 
Mungu awabariki wanaolike comments zetu maana Kuna muda unakosa like mpaka unajihisi...hee😳 au mi ndo naandika pumbar tu daily. raraa reree , Extrovert , mkwepu jr , Half american ...May God bless you.🙏❤️❤️❤️
Inafikirisha unaweka mchango wako wa mawazo kwenye comment alafu no any reaction. Like ni muhimu ndio maana ikawekwa jf. Ni ishara ya kuwafikia na kukubalika michango yako kwa members.
 
Back
Top Bottom