sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Binafsi napenda nichonwe tu, mambo ya mwili yamalizike fasta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea kama mwili ulifanyiwa uhifadhi wowote. Wengine kama ilichukua siku 3 au 4 kabla ya mazishi, tayari mwili unaanza kuoza. Wengine waliofanyiwa embalming, hata mwezi au miaka unakaa, kwani unakuwa umekaushwa hivi.Ndugu zangu , hongereni kwa weekend.
Binadamu akishazikwa kaburini, inamchukua muda kuanza kuoza na hatimae kupoteza sura yake ya awali ?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Miili hiyo iliwekwa wazi? Uliionaje?Ki-Biolojia, decomposition husababishwa na bacteria. Sasa bacteria kuishi mahala fulani hutegemea vitu vingi kuwepo au kutokuwepo mahala husika, kama aeration, water, soil texture and so on. Kwa hiyo basi, mtu kuoza inategemea na mahali alipozikwa. Miaka ya nyuma kidogo, Tanzania iliamua kurejesha miili ya mashujaa wake waliokuwa wamezikwa Msumbiji miaka mingi iliyopita, lakini miili hiyo haikuharika, mingine ilionekana kama imezikwa jana tu.
Tendo la kuoza huanza pale mtu anapokata roho na akifika kaburini ni mwendelezo tu ambao chini ya masaa 72 sura hubadilika kabisa lakini pia inategemea alikaa muda gani kabla ya kuzikwaNdugu zangu , hongereni kwa weekend.
Binadamu akishazikwa kaburini, inamchukua muda kuanza kuoza na hatimae kupoteza sura yake ya awali ?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Umesham-miss Mwendazake? Walimtia dawa nyingi sana sana bado Atakua vizuri hadi sasa.Ndugu zangu , hongereni kwa weekend.
Binadamu akishazikwa kaburini, inamchukua muda kuanza kuoza na hatimae kupoteza sura yake ya awali ?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Umesham-miss Mwendazake? Walimtia dawa nyingi sana sana bado Atakua vizuri hadi sasa.
Picha gan luvNimepata picha
Subiri hiyo siku yako ikifika utuletee mrejesho.... Au sivyo ndugu zangu ?Ndugu zangu, hongereni kwa weekend.
Binadamu akishazikwa kaburini, inamchukua muda kuanza kuoza na hatimae kupoteza sura yake ya awali?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Wanaozikwa dareslaam kwa vikaburi vyao vile vinavyochimbwa futi 3 tu kwenda chini lazima waanze kuoza kesho yake tuJoto + mgandamizo, nadhani hata siku mbili hutoboi, unavimba, tumbo lina pasuka, kila kitu kinamwagika sasa ndo muda wa wadudu kufanya yao, yaani wanakufumua fumua hovyo hovyo, halaf mbeleni huko sijui.
[emoji3][emoji3]Umeongea kilichomo kichwani mwanguAcha kbs hizi maada zinanifanya nifanye sala ya toba kabla sijasaga meno..tuokokeni wapendwa unyakuo unakuja