Baada ya kuzikwa kaburini, binadamu huchukua muda gani kuanza kuoza?

Baada ya kuzikwa kaburini, binadamu huchukua muda gani kuanza kuoza?

Naogopa kufa, yani ingekua na namna ya kukimbia hizo mbio zake sijui tu, miguu ingegusa kisogo.
Aisee,,, mwili wa binadamu ni kama mshumaa yani,

Kuna dogo mmoja aliuawa na wahuni wakabeba pikipiki wakamtupa kichakani ila ile sehemu kulikuwa na jua sana linapiga,. Yani ule mwili wake ndani ya wiki 2 ilikuwa imebaki mifupa tupu. Ndugu walikuja kutambua kwa kuangalia nguo

Mwisho: utakufa tu utake usitake[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndugu zangu, hongereni kwa weekend.

Binadamu akishazikwa kaburini, inamchukua muda kuanza kuoza na hatimae kupoteza sura yake ya awali?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
If the coffin is sealed in a very wet, heavy clay ground, the body tends to last longer because the air is not getting to the deceased. If the ground is light, dry soil,decomposition is quicker. Generally speaking, a body takes 10 or 15 years to decompose to a skeleton.
 
Ndugu zangu, hongereni kwa weekend.

Binadamu akishazikwa kaburini, inamchukua muda kuanza kuoza na hatimae kupoteza sura yake ya awali?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Inategemea kama umekula kifusi na shimo la futi 12 hadi siku 80 ila kama tylies kama la magu ndani ya siku 15 wadudu wanachekelea maana kunakuwa na joto sana mle ndani.
Kingine kuoza inategemea na mazingira ya kaburi lako sehemu nayo inachangia vile vile na mwili wako kama ulikuwa na mafuta nayo kuoza hai chukui raundi
 
Yaani Mungu kutuwekea kifo naona Kama katuwekea ukatili mkubwa saana. Kuna siku niliona maiti ya jamaa mmoja hivi kafia mtoni akakaa Kama wiki hivi alikuwa akishikwa nyama zinavuka tu... Sikula nyama Kama mwezi hivi.
Mungu hakutuwekea kifo sisi wenyewe tulichagua kifo kwa kutokutii.
 
Yaani Mungu kutuwekea kifo naona Kama katuwekea ukatili mkubwa saana. Kuna siku niliona maiti ya jamaa mmoja hivi kafia mtoni akakaa Kama wiki hivi alikuwa akishikwa nyama zinavuka tu... Sikula nyama Kama mwezi hivi.
Acha uoga wewe mbona kawaida sana
 
Tendo la kuoza huanza pale mtu anapokata roho na akifika kaburini ni mwendelezo tu ambao chini ya masaa 72 sura hubadilika kabisa lakini pia inategemea alikaa muda gani kabla ya kuzikwa
Vipi kwa mfano yule wa chato saa hivi yuko kwenye hali gani[emoji20]
 
Hiyo ya kupasuka tumbo ndo balaa.

Kifo kinatisha sana wakuu, halafu mimi siku za kariburi nimeingiwa na hofu ya kufa.

Toka pepo, shindwa, toweka...[emoji3][emoji3][emoji3]
Hakuna sio tumbo ni ubavuni mwisho wa mbavu chini ya pale unakotekenywagwa ndio panapausuka
 
Joto + mgandamizo, nadhani hata siku mbili hutoboi, unavimba, tumbo lina pasuka, kila kitu kinamwagika sasa ndo muda wa wadudu kufanya yao, yaani wanakufumua fumua hovyo hovyo, halaf mbeleni huko sijui.
Mkuu umeandika kwa hisia sana utadhani ulishawahi kufa vile😀😀
 
Kifo ndiye Rafiki Yako Wa Kweli..Muda wote Upo Nae...Hata Ukimkimbia Yeye Atakukimbilia..Tusimuogope Rafiki Yetu..

Sad Reality About it..it Comes Untimely...Usiombee kikukute uko kinenani na mke wa mtu.
May God Rewards Us HAPPY ENDINGS.
 
Back
Top Bottom