Baada ya kuzinduliwa na Mark Rutte Dutch PM yatua KIA for the first time.

Baada ya kuzinduliwa na Mark Rutte Dutch PM yatua KIA for the first time.

Jifunzeni kutochanganya mambo ya maendeleo na siasa za nchi, hii video mlikosea kuchomekea humo mambo ya siasa, mara mnamponda Membe, mara ununuzi wa urais Dodoma, yaani hata kitu kizuri kinaishia kupondwa. Mjifunze tunavyotoa taarifa za mazuri ya Kenya, humo hatuchanganyi siasa, tunaiweka kizalendo ambapo inaishia kusifiwa na Wakenya wote wenye mitazamo tofauti ya kisiasa.

Makada wa CCM kwenye mitandao mnaharibu nchi yenu mkiona kwa macho, mnafaa mpate darasa jinsi gani ya kuunganisha nchi, hebu ona hata mpira juzi kule Misri, nilishangaa sana nchi yote mligawanyika kati, yaani mechi baina ya mataifa hufahamika kama njia ya kuwaleta wananchi wote pamoja na kuwa kimoja, lakini MaCCm mliiteka timu na kusababisha baadhi ya Watanzania kushabikia kushindwa kwa timu ya taifa, hivi kweli mumepofushwa kiasi hamuoni mnakoipeleka nchi, hamna kizuri ambacho hamkitii uchafu.
Hili la ndege mngeitangaza yenyewe kama yenyewe na kusifia nchi yenu kuwa ya kwanza kuipokea, lakini video imejaa tambo za kisiasa.
Hii mijitu ya ccm hata uongee lugha gani hawasikii
 
Kila jambo wanaingiza siasa,halafu hawaishi kumtaja Membe
Wanahisi kuwa wanamdhalilisha membe,hawaoni kuwa ndio wanazidi kumpa jina kwa kumtaja taja na kumfatafata
 
wueh! jamaa anajuta kwanini kaanzisha uzii huu. mwacheni sasa auguze majeraha.
 
Wewe unaishi kwa kumsifia jiwe. Mimi nalipa watu mishahara, na 90% ya kazi zetu ni online. SIHITAJI kupoteza muda wangu kuangalia video zilizotengenezwa na mburula.
Hata kuongopa (japo kwa kutunga uongo unaoweza kukaribiana na ukweli) hamuwezi. Hivi nyie ccm hamuoni aibu kuongopa? Karne hii utamdanganya nani zaidi ya bibi yako alie Ishinabulandi? Hapa kuna watu waelewa na wenye exposure kuliko nyie waimba mapambio.

Endeleeni kujidanganya eti nyie ni wa 4 kwa KLM kibiashara. KLM my foot! Labda KLM ya Chato ya kuruka kwa ungo mkiwa uchi.
😁😁😁😁 Kamanda hii kitu inauma kumoyo sana yaani inapenya kama sindano ya kristapen na klorokwin lakini ndio uhalisia huo, sasa tufanyaje? 😂😂😂

Ugua pole tu japo inauma


Viva JPM
VivaTanzania
Viva KLM

Tanzania ndio soko la 4 la KLM lenye faida kubwaaaaaaaaa kinyama yan
 
Nakubaliana na wewe nimeona hii video nikashangaa sana, mkuu wa polisi bila aibu anahutubia mkutano wa wanasiasa na kusifia chama, hili halikutokea kwetu hata miaka ambayo tulikua gizani, kwenu huko balaa kweli....hehehe

https://www.jamiiforums.com/data/video/1051/1051539-05de55cb2d1da01c8086c2a9b72a2240.mp4
Aibu itoke wapeeee? Wapeeee?

Kamanda katoa theory nzuri kweli if a + b = c then a = c fanya mchamganuo wako hapo.

Tanzania ni CCM na CCM ni Tanzania hilo wala halihitaji mjadala, hawa nyumbu watakaa sana kuiona chamwino.
 
Ongeza volume kaka Ongezaa….haya majibwa ya CCM wanaomaliza nchi watoke jukwaani
We mshenzi nini? Kama ni njaa inakusumbua omba msaada tukupe, Rais wako kashaleta maelezo kuhusu usalama wa Watanzania huko Kenya, weye ushuzi kunuka kaa kimya
 
MK254,
Umeongea ukweli kabisa, wahusika lazima watakuwa wamekusoma.

2 Jul 2019
KLM 787-10 DREAMLINER to Kilimanjaro
This is the first comercial flight of the brandnew KLM Boeing 787-10 KL 571 Amsterdam Schiphol airport Netherlands to Kilimanjaro international airport Tanzania

Kilichokosewa kipi sasa? Au hii ndege ilishatua hapo kabla nchini Tanzania? Hii ndege ilishamilikiwa hapo kabla na KLM?
Mmekaa kusubiri mambo yaharibike Tanzania lakini instead ndio yanazidi kunoga.
 
😁😁😁😁 Kamanda hii kitu inauma kumoyo sana yaani inapenya kama sindano ya kristapen na klorokwin lakini ndio uhalisia huo, sasa tufanyaje? 😂😂😂

Ugua pole tu japo inauma


Viva JPM
VivaTanzania
Viva KLM

Tanzania ndio soko la 4 la KLM lenye faida kubwaaaaaaaaa kinyama yan

Hakuna ninachoumia kwacho. In fact katengenezeni video nyingine inayoonyesha jinsi serikali ya Magufuli inavyofanya vizuri kabisa kiasi kwamba nchi zote duniani zinatuonea wivu. Onyesheni pia jinsi serikali inavyotekeleza ilani yake hadi kufikia nchi kuwa donor country na kuuza nguo za mitumba nje (baada ya Watanzania kuzivaa kwanza).
 
Hakuna ninachoumia kwacho. In fact katengenezeni video nyingine inayoonyesha jinsi serikali ya Magufuli inavyofanya vizuri kabisa kiasi kwamba nchi zote duniani zinatuonea wivu. Onyesheni pia jinsi serikali inavyotekeleza ilani yake hadi kufikia nchi kuwa donor country na kuuza nguo za mitumba nje (baada ya Watanzania kuzivaa kwanza).
Mbona zipo nyingi tu, tuone #MATAGA kiu yako inakatwa kizalendo.

Ugua pole though
 
Acheni hshabjki wa kijinga basi. Huu ni msimu wa utalii (high season) KLM inatuaga na watalii wengi miaka yote na msimu ukiisha haiendi tena KIA. Baada ya high season mtabaki na Qatar, Condor, ET, KQ, PW na lile janga let ATCL.
Usitudanganye KLM na Ethiopian Airlines ndio ndege zinatozuta sana KIA katika kipindi chote cha mwaka hata wakati wa Low season wanakuja.
 
Mtu akisoma alichoandika huyu mlumumba ataamini kuwa aliandika akiwa amevuta bangi wakati ni umbumbumbu wake tu.
🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Nimekusoma mkuu kwanza watumiaji wa mmea wanajitambua sio kama huyu anayetaka kuichafua ganja
 
Mbona zipo nyingi tu, tuone #MATAGA kiu yako inakatwa kizalendo.

Ugua pole though

I have never been better. Ugueni pole nyie waimba mapambio. Chema chajiuza kibaya chajitembeza. Panapofanyika jambo la maana huwa hakuna haja ya kulitengenezea video maana halifichiki.
Btw; inakuwaje mnawaachia hiyo "faida kuuubwaa kinyaaamaa" KLM badala ya kuwa ni ya ATCL? You guys were born stupid and you'll remain so all of your miserable lives.
 
30 Jun 2019
100 years of KLM Royal Dutch Airlines

Today the first KLM Boeing 787-10 arrived at Schiphol. This sustainable and energy-efficient aircraft is called ‘Orange Blossom’ and carries the special KLM100 logo. Yesterday, a smashing event kicked off the 100 day countdown to KLM’s 100th anniversary, on 7 October. Both festive occasions are captured in this short video.
 
Acheni hshabjki wa kijinga basi. Huu ni msimu wa utalii (high season) KLM inatuaga na watalii wengi miaka yote na msimu ukiisha haiendi tena KIA. Baada ya high season mtabaki na Qatar, Condor, ET, KQ, PW na lile janga let ATCL.
Kwa Taarifa yako tu iyo ndege itakuwa inapiga masafa ndani ya EAST AFRICA ila kwa kuanza walishachagua ianze na safari za TZ na baadae NAI JKIA itafuata so stay tune just few months to come the plane will land in Nairobi for the fist time.

msikilize hapo mkurugenzi wa KLM KANDA YA EASTERN AFRICA
 
Wewe unaishi kwa kumsifia jiwe. Mimi nalipa watu mishahara, na 90% ya kazi zetu ni online. SIHITAJI kupoteza muda wangu kuangalia video zilizotengenezwa na mburula.
Hata kuongopa (japo kwa kutunga uongo unaoweza kukaribiana na ukweli) hamuwezi. Hivi nyie ccm hamuoni aibu kuongopa? Karne hii utamdanganya nani zaidi ya bibi yako alie Ishinabulandi? Hapa kuna watu waelewa na wenye exposure kuliko nyie waimba mapambio.

Endeleeni kujidanganya eti nyie ni wa 4 kwa KLM kibiashara. KLM my foot! Labda KLM ya Chato ya kuruka kwa ungo mkiwa uchi.
Asante kwa kumpa ukweli huyo kenge anaeishi na kuingiza siku kwa kusifiasifia tu jpm.
 
Kipindi JPM anakamata serikali tu alipandisha tozo za utalii, mlipaga mayowe kweli kipindi kile kwamba watalii wanaikimbia nchi sababu ya tozo kubwa na kwamba JPM anaharibu uchumi wa nchi

Sasa kimefika wapi? Mbona airlines zinazidi kuleta vyombo vikubwa zaidi na kuongeza safari zaidi japo tozo hazijapunguzwa?

Hili la KLM linakuja ikiwa haijapita hata mwezi baada ya Qatar nayo kuleta dege Lao kubwa zaidi huko huko KIA





Nyinyi mtabaki tu na cinemas za kujiteka.

KIA receives a significant number of dreamliners! ET, Qatar Airways n now KLM!
 
Kwa Taarifa yako tu iyo ndege itakuwa inapiga masafa ndani ya EAST AFRICA ila kwa kuanza walishachagua ianze na safari za TZ na baadae NAI JKIA itafuata so stay tune just few months to come the plane will land in Nairobi for the fist time.

msikilize hapo mkurugenzi wa KLM KANDA YA EASTERN AFRICA

Hizo zote mbwembwe uchwara tu bro.
Siku zote KLM inayotua KIA inanzia Mombasa inakuja KIA na kumalizia DAR. tofauti ni ipi?
Au mnataka kutuaminisha kua serikali ya awamu ya tano kwa utendaji kazi wake imeishawishi KLM kuleta ndege kubwa right?
 
Back
Top Bottom