Baada ya kuzushiwa kifo na wananchi kuanza kuchoma moto mabango yake, Ali Khamenei wa Iran ajitokeza hadharani akiwa hana hata kovu

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Baada ya kuwepo kwa tetesi kuhusu hali ya kiafya ya Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ambapo uvumi ulidai kuwa yuko katika hali ya koma, Khamenei ameonekana hadharani akikutana na Balozi wa Iran nchini Lebanon, Mojtaba Amani.

Soma pia: Ayatollah Khomen Anasena Israel ni Mtoto Mdogo Sana Mbele Ya Hezbullah

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Khameneo alieka picha akiwa na Balozi wa Iran nchini Lebanon, mzima wa afya hana kovu hata moja.






Ikumbukwe kuwa mara baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa Khameni yupo hoi kitandani, wananchi wa Iran walianza kuchoma mabango ya kiongozi huyo.

Your browser is not able to display this video.


Inaonekana huyu baba bado bado yupo sana sana.
 
Netanyau akimtaka analiwa kichwa fasta tu.
 
FAKE NEWS
 
Netanyau akimtaka analiwa kichwa fasta tu.
Ndio mmeaminishwa hivyo nyie makafiri?

Unamzungumzia Natanyahu ambaye hawezi kutupa hata Jiwe Iran mpaka ahakikishiwe ulinzi na NATO?
Unamzungumzia Natanyahu ambaye anapewa silaha na US,anapewa hela na kupangiwa wapi apige na wapi asipige?

Bado una fikra za kuamini propaganda za kijinga sana,

Umeandika hiyo comment kama vile ulikua unawahi Chooni kwenda kumwaga uharo.
 
Yaani ni laana sana hadi wananchi wanakuchukia kiasi hicho Kuna raha Gani ya kuwatawala
Hawamchukii Netapaka Bibi alisema anataka kuchonganisha Uongozi wa Iran na Wananchi na kuushusha uchumi wa Iran. Ndio kama hivi Sasa.....
 
Propaganda hakuna la ziada hapa
 
Kwa tafsiri ya waarabu,hadi wewe ni kafiri...waarabu huwaita watu weusi wote kafiri tena wananuka...usijione msafi hata wewe ni kafiri.
 
Kwa tafsiri ya waarabu,hadi wewe ni kafiri...waarabu huwaita watu weusi wote kafiri tena wananuka...usijione msafi hata wewe ni kafiri.
Kafiri vipi mbona kama wewe ndio imekuchoma zaidi kuliko niliyemquote? au hii ni ID yako nyingine?

Hiyo tafsiri uliyoiweka hapa labda ni tafsiri ya huko Kijijini kwenu,tumia hata google ili usionekane kua hamnazo.
 
Kafiri vipi mbona kama wewe ndio imekuchoma zaidi kuliko niliyemquote? au hii ni ID yako nyingine?

Hiyo tafsiri uliyoiweka hapa labda ni tafsiri ya huko Kijijini kwenu,tumia hata google ili usionekane kua hamnazo.
Wewe siyo kafiri sheikh wewe ni mja wa mwenyezi MUNGU mola wako wako mlezi wewe ni mtu wa alah aliyekuteremshia kitabu chenye mongozo kamili na kisichokuwa na shaka ndani yake na wewe ni muumini wa dini ya khaki dini ya kiislamu

Makafiri ni sisi wakristo watu ambao Allah ameagiza mtuue kwa upanga sisi ambao tutaenda motoni moja kwa moja wakati wewe ukiwa unaburudika na zile bikira 72 akhera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…