Baada ya kuzushiwa kifo na wananchi kuanza kuchoma moto mabango yake, Ali Khamenei wa Iran ajitokeza hadharani akiwa hana hata kovu

Baada ya kuzushiwa kifo na wananchi kuanza kuchoma moto mabango yake, Ali Khamenei wa Iran ajitokeza hadharani akiwa hana hata kovu

Mzee, ukijiingiza vitani usilalamike kwamba adui yako anasaidiwa, si na wewe uwaombe hao wanaomsaidia wakusaidie? Kuwa na nguvu za kijeshi ni pamoja na kuwa na support. Si umeona Urusi inachukua hadi wafungwa na Wakorea Kaskazini kwenda kupigana na Ukraine? Unadhani Ukraine ataanza kujitetea kwamba eti bila wafungwa Urusi haniwezi?
Kuna kusaidiwa na kupigina kwa niaba usa anapigana kwa niaba ya isreil
 
Kuna kusaidiwa na kupigina kwa niaba usa anapigana kwa niaba ya isreil
Hata Hamas na Hezbollah hawajakatazwa kutafuta watu wa kupigana kwa niaba yao. Lengo la vita ni kujilinda na kushambulia, adui ni yeyote unayepigana naye
 
Kafiri vipi mbona kama wewe ndio imekuchoma zaidi kuliko niliyemquote? au hii ni ID yako nyingine?

Hiyo tafsiri uliyoiweka hapa labda ni tafsiri ya huko Kijijini kwenu,tumia hata google ili usionekane kua hamnazo.
Dogo inaonekana mafundisho ya ile dini kharam yamekuingia hadi kwenye damu.
 
Hata Hamas na Hezbollah hawajakatazwa kutafuta watu wa kupigana kwa niaba yao. Lengo la vita ni kujilinda na kushambulia, adui ni yeyote unayepigana naye
Basi msiwaite Iran magaidi wakiwa wanawaunga mkono Hizbollah,Houthi na Hamas.
 
Ayatolah kaibuka na Kilemba chake au yule ni Double wa Ayatolah?
 
Nini kilipelekea ukaanza kujihusisha na homosexuality ?
Ni peer pressure
Economic hardship
Religious influence au nini kijana.
Mmeruhusiwa tayari,wahi nafasi.
 

Attachments

  • Screenshot_20241005_010637_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20241005_010637_WhatsAppBusiness.jpg
    324.7 KB · Views: 1
Endelea kupigwa paipu choko wewe,naona umeamua kujitangaza humu bila aibu,
Wewe mchicha mwiba wazazi wako wana hasara kubwa sana.
Aiseee ustadhi majini, jitahidi upate matibabu la sivyo hilo tundu la cundu utalichakaza vibaya sana
 
Back
Top Bottom