Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCMChama kipi kinamfaa baada ya kufukuzwa uanachama wa chadema mwaka 2025? Mimi namshauri aende UDP Upendo.
Wakaungane na ZitoCHAUMA kule ataachana na maswala ya kuongea ongea bila breki kule ni kula ubwabwa tu!.
Funga mdomo unapokuwa kwenye ndoto za mchana nzi watakujambia mdomoni.Chama kipi kinamfaa baada ya kufukuzwa uanachama wa chadema mwaka 2025? Mimi namshauri aende UDP Upendo.
Kwa sababu wewe huwa unawashika miguu lazima utoe miongozo.Watu wa upinde mawazo yao huwa yako karibu na shughuli zao
TLP ya Mrema,Kabla hajajiunga Chadema alikuwa chama gani ?
apumzike, au arudi ubelgiji, maana option zake zote mbili ambazo nitatoa hapa, akizifuata, watamuua. option ya kwanza ni kusajili chama kipya cha upinzani. ana haki zote na atachukua wanachama wote. hata hivyo akifanya hivyo, anatakiwa alindwe sana, la sivyo...Chama kipi kinamfaa baada ya kufukuzwa uanachama wa chadema mwaka 2025? Mimi namshauri aende UDP Upendo.
Msigwa aliko kwa sasa amepewa cheo Gani?Akuna wa kumfukuza bali ataondoka mwenye kumfuata msingwa alipo