Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Na akiishakuja, anapelekwa kuwa Katibu Tarafa Ngorongoro ili akawaelimisha Wamasai uzuri wa kuhamia Makazi mapya! Ahahahahaha!!!Hebu basi wajaribu kumleleta .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na akiishakuja, anapelekwa kuwa Katibu Tarafa Ngorongoro ili akawaelimisha Wamasai uzuri wa kuhamia Makazi mapya! Ahahahahaha!!!Hebu basi wajaribu kumleleta .
Kama ni kwa staili hiyo aje,labda fitna zake za kisiasa zitapungua kama siyo kwisha kabisa.Na akiishakuja, anapelekwa kuwa Katibu Tarafa Ngorongoro ili akawaelimisha Wamasai uzuri wa kuhamia Makazi mapya! Ahahahahaha!!!
Huyu anapiga kelele apate mkate na hakuna mkate mgumu mbele ya chai!Kama ni kwa staili hiyo aje,labda fitna zake za kisiasa zitapungua kama siyo kwisha kabisa.
Aliko MsigwaChama kipi kinamfaa baada ya kufukuzwa uanachama wa chadema mwaka 2025? Mimi namshauri aende UDP Upendo.
Usalama wa kweli anao Mungu tu.apumzike, au arudi ubelgiji, maana option zake zote mbili ambazo nitatoa hapa, akizifuata, watamuua. option ya kwanza ni kusajili chama kipya cha upinzani. ana haki zote na atachukua wanachama wote. hata hivyo akifanya hivyo, anatakiwa alindwe sana, la sivyo...
pili, anaweza kuhamia chama kingine cha upinzani, na akienda huko, itakuwa bora sijui angefanya nini maana uslaama wake utakuwa mdogo.
mwisho, ahamie ccm (ambao ata yeye amesema kama akishindwa uenyekiti uamuzi ambao atauchukua hataki hata kuufikiria), na akienda ccm atakuwa sio yule mliyemzoea, atakuwa msigwa, na watamtumia na mwisho.....
kama anataka aendelee kuishi, arudi ubelgiji, aishi na mke na watoto. basi ili asogeze siku. tunashukuru kwa utumishi wake hadi hapa alipofikia, na ameumizwa hadi kulemazwa kwa ajili hiyo.
mbowe ambaye hataumizwa hata ukucha tu anakuja leo kusema "yeye habangaizi, ana hela". wenzake wana makovu ila yeye ana hela.