Baada ya Lissu kufukuzwa uanachama wa chadema mwaka 2025,ungependa aelekee katika chama gani

Lakini kumkaribisha Lissu na kumpa hata kipande cha slice ya mkate ni sawasawa na kufuga JINI nyumbani kwako.Ipo siku litakunyonya damu mwenyewe.Au mnasemaje jameni !
 
Usalama wa kweli anao Mungu tu.
Acheni uoga nyie wanafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…