Uchaguzi 2020 Baada ya Lissu kusema, Rais aagiza ekari 24,000 Moro zirudishwe kwa wananchi


Kumbe ni msikivu huyu baba.ashughulikie na zile michango ya corona pia.maana hatujawahi ambiwa zimetumikaje.mlevi mmoja anasema eti zimechotwa na ccm na ndiyo zinazotumika kwemye kampeni wakati korona iliisha.Sema kuna mlevi mmoja anasema eti zilichotwa na ccm na zimeingizwa kwenye kampeni
 
Pole sana John kwa mchakamchaka unaopigishwa na Lisu. Na bado.
 
[emoji23][emoji23][emoji23],nchi inashangaza hii,Lissu kazia hapohapo
 
Arudishe na zile elfu ishirini za vitambulisho vya ujasilimali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…