Jumla Ni bilion 100 alizokwapuaArudishe na zile elfu ishirini za vitambulisho vya ujasilimali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jumla Ni bilion 100 alizokwapuaArudishe na zile elfu ishirini za vitambulisho vya ujasilimali
Hakuna watu dhaifu duniani Kama madikteta sema kinachowaponza wananchi Ni uoga wao.Kumbe watu ni walaini kiasi hiki. Wakibanwa tu, lazima watoe maagizo ili kupunguza pressure.
Lissu kamatia hapo hapo.
Kumuweka mtoto wa dada yake kwenye kibubu unategemea nn,Kama 5 yrs tu kajenga mahoteli na uwanja kijijini kwake vipi another 5 yrs again.Magufuli inaonekana ndani ya miaka mitano kafanya ufisadi wa kutisha sana
Thibitisha ufeki wake na lete hiyo genuineFAKE