J jo mose JF-Expert Member Joined Aug 5, 2020 Posts 3,476 Reaction score 4,074 Sep 27, 2020 #21 Scars said: Arudishe na zile elfu ishirini za vitambulisho vya ujasilimali Click to expand... Jumla Ni bilion 100 alizokwapua
Scars said: Arudishe na zile elfu ishirini za vitambulisho vya ujasilimali Click to expand... Jumla Ni bilion 100 alizokwapua
J jo mose JF-Expert Member Joined Aug 5, 2020 Posts 3,476 Reaction score 4,074 Sep 27, 2020 #22 Kwa Moto huu soon Azory , na Ben watawarudisha walipowaficha
J jo mose JF-Expert Member Joined Aug 5, 2020 Posts 3,476 Reaction score 4,074 Sep 27, 2020 #23 Ulimbo said: Kumbe watu ni walaini kiasi hiki. Wakibanwa tu, lazima watoe maagizo ili kupunguza pressure. Lissu kamatia hapo hapo. Click to expand... Hakuna watu dhaifu duniani Kama madikteta sema kinachowaponza wananchi Ni uoga wao.
Ulimbo said: Kumbe watu ni walaini kiasi hiki. Wakibanwa tu, lazima watoe maagizo ili kupunguza pressure. Lissu kamatia hapo hapo. Click to expand... Hakuna watu dhaifu duniani Kama madikteta sema kinachowaponza wananchi Ni uoga wao.
J jo mose JF-Expert Member Joined Aug 5, 2020 Posts 3,476 Reaction score 4,074 Sep 27, 2020 #24 technically said: Magufuli inaonekana ndani ya miaka mitano kafanya ufisadi wa kutisha sana Click to expand... Kumuweka mtoto wa dada yake kwenye kibubu unategemea nn,Kama 5 yrs tu kajenga mahoteli na uwanja kijijini kwake vipi another 5 yrs again.
technically said: Magufuli inaonekana ndani ya miaka mitano kafanya ufisadi wa kutisha sana Click to expand... Kumuweka mtoto wa dada yake kwenye kibubu unategemea nn,Kama 5 yrs tu kajenga mahoteli na uwanja kijijini kwake vipi another 5 yrs again.
Ole JF-Expert Member Joined Dec 16, 2006 Posts 2,157 Reaction score 976 Sep 27, 2020 #25 Shukrani ya punda.
Source07 Senior Member Joined Oct 5, 2018 Posts 196 Reaction score 353 Sep 27, 2020 #26 Zanika said: FAKE Click to expand... Thibitisha ufeki wake na lete hiyo genuine