mandieta19
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 212
- 549
Real anajua namna ya kuzicheza hizi mechi. Anaweza kukupa dkk 75 utawale ila akatumia dkk 15 kuimaliza mechi. Leo mtaitawala mechi ila real anasonga mbele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawa Kila mmoja ashinde mechi zakeMim nataka Barcelona tuchukue
Barca mpinzani mkubwa wa kumhofia alikuwa ni Liverpool na Madrid, Atletico na Real. Sasa leo anaondoka mwingine ambaye ni tishio, hii ndo tunabeba. Leo natamani Atletico apite kuliko Real.Mim nataka Barcelona tuchukue
Nenda ukapakatwe
Barca tuombe Atletico apite. Madrid tushampiga game mbili, UEFA tukikutana nae atatusumbu sababu ameshajua makosa yake.Real Madrid ni kama jini inapokuja UEFA
Hapo sumu ni Mbappe tu, Vini hana muujiza tena toka Mbappe ashike timu.rodrygo,vini,mbappe...hiyo defence yako itatia huruma leo usiku
WooooowKuna uwezekano mkubwa Mbape kutocheza game ya leo.
Halla MadridMadrid kwenye hiki kikombe anakuwaga serious kuliko unavyoweza kumkadiria.
Waulize Man City watakuambia.
Man City fans hamuwezi kuipenda Madrid.Hizi habari za madrid kwenye Knockout blah blah blah
Kwani madrid kashatolewa mara ngapi kwenye hizihizi knockouts mnazomsifia?
Au ndiyo kujizima data.
Real Madrid ni kama jini inapokuja UEFA
Mbele ya UEFA hata barcelona anachapwa.
Umeandika as if huwa wanafanya hivyo purposefully.Real anajua namna ya kuzicheza hizi mechi. Anaweza kukupa dkk 75 utawale ila akatumia dkk 15 kuimaliza mechi. Leo mtaitawala mechi ila real anasonga mbele.
Madrid hata iwe mbovu kiasi gani ikishafika 16 bora kwenye UEFA kila mchezaji anacheza kama Messi. Atletico Itafumuliwa mpaka wajute kushiriki UEFA msimu huuJana kulikuwa na mechi nzuri sana kati ya Liverpool dhidi ya PSG katika usiku wa Ulaya.
Mechi ikaisha kwa PSG kushinda kwa matuta huku wakiubonda sana mpira mwingi.
Ikawashtua mashabiki wengi wa soka ambao hawakutarajia kama Liverpool ingeondolewa hasa katika uwanja wake wa nyumbani.
Leo ni zamu ya kuondolewa mashindanoni kwa mabingwa wa kihistoria, Real Madrid.
Leo pale katika dimba la Wanda Metropolitano kuna bonge la mbungi.
Atletico Madrid watakuwa wanawakakaribisha majirani zao Real Madrid.
Naona kabisa leo Diego Simione akiiongoza Atletico kwenda hatua ya robo fainali. Tutakuwepo
Nikikumbuka namna Mohamed salah alivyo teguliwa mfupa maeneo ya juu ya kifua na beki matata sergio nachoka kabisaMadrid kwenye hiki kikombe anakuwaga serious kuliko unavyoweza kumkadiria.
Waulize Man City watakuambia.
2018 hiyoNikikumbuka namna Mohamed salah alivyo teguliwa mfupa maeneo ya juu ya kifua na beki matata sergio nachoka kabisa