Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Liverpool wakiwa anfield tulisema ni kama majini😂Real Madrid ni kama jini inapokuja UEFA
Miaka mingine waliochukua kina bayern, Chelsea, man city anakuwa amezubaa nn😂? Kama ndo hvyo mnavyotuambia basi angekuwa anachukua UEFA kila msimuMadrid kwenye hiki kikombe anakuwaga serious kuliko unavyoweza kumkadiria.
Waulize Man City watakuambia.
Facts zinaongea na ndio maana Madrid ndio most champion kwenye hili kombe kuliko Club yeyote unayoijua.Miaka mingine waliochukua kina bayern, Chelsea, man city anakuwa amezubaa nn😂? Kama ndo hvyo mnavyotuambia basi angekuwa anachukua UEFA kila msimu
Yaan umuondoe mwenye kombe lake? Inawezekana ila sio kwa Madrid hii ya sasa.Leo ni zamu ya kuondolewa mashindanoni kwa mabingwa wa kihistoria, Real Madrid.
Kama vile Yanga na kombe la ligi kuu Tanzania bara kama Madrid na UCLFacts zinaongea na ndio maana Madrid ndio most champion kwenye hili kombe kuliko Club yeyote unayoijua.
Kwa hiyo numbers ndio zinazo ifanya Madrid iwe favorite kwenye kuvuka hii stage dhidi ya mpinzani wake.
Hizo numbers sisi ndio tumeamua kuzitambua kwa u serious.
Kwenye CL Vini ana magoli 7 na assist 2 katika mechi 9. Unapata wapi confidence ya kusema hana muujiza?Hapo sumu ni Mbappe tu, Vini hana muujiza tena toka Mbappe ashike timu.
Mechi ipi ulimfunga barcelonaMbele ya UEFA hata barcelona anachapwa.
Acha kufananisha Mabingwa na Mambwiga.Kama vile Yanga na kombe la ligi kuu Tanzania bara kama Madrid na UCL
Weka Bellingham ndani anarudi baada ya suspensionrodrygo,vini,mbappe...hiyo defence yako itatia huruma leo usiku
HahahaHata Liverpool wakiwa anfield tulisema ni kama majini😂
Watachapwa tu hawa bado ni watotoAtletico kapata goli la mapema sana
Kila mtu anataka timu yake ichukueMim nataka Barcelona tuchukue
Madrid wamepigwa kabali kali leo na hawa wahuni wa Wonder metropolitano ,vijana wa Simeon ,Weka Bellingham ndani anarudi baada ya suspension
Wamefunikwa kisenge Conor Ghallagher mfumo wa Simeon umemkubali ,anakichafua ni balaa na linakaba uwanja mzima ,mithili ya Ngolo Kante kipindi kile yupo epl .Atletico wanakaba yaani Mbape na Vin hawaonekani.