Ha ha ha kiko wapi?Kwenye CL Vini ana magoli 7 na assist 2 katika mechi 9. Unapata wapi confidence ya kusema hana muujiza?
Mzigo unaelekea hukoLolote litokee ila sio kutupeleka dakika 120.
Siku ya pili mfululizo hakuna kulala.Mzigo unaelekea huko
Dakika 90 zinatoshaMzigo unaelekea huko
Madrid anafuzuMkuu ulisema kweli asilimia 100
Tupo 120Lolote litokee ila sio kutupeleka dakika 120.
🤣🤣KIPINDI CHA pili Madrid anashinda 2-2/3-1/3-2
All dbest
Huyu NDIE Madrid WA cancelo5i
Kumbe agrigeti 2-2?Tupo 120
Mpira ni burudani inayotesa wafuasi wakeTupo 120
Sasa una mjudge mchezaji kwa mechi moja tu! Jamaa vipi bhana?Ha ha ha kiko wapi?