Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Na wewe unatakiwa utumie akili, wewe unadhani huyo rais alikua hajui kwamba bando linaongezeka? Alafu eti unakaa unamsifia daaah sijui ujinga utatuisha lini!!Samia safiiiiii...mama la mama safiiiii??
Nilijua tu, waziri wa teknolojia wa saivi ni wa hovyo kuwahi kutokea ...na sijui kwanini mama la mama amemuacha, ila nina imani na mama hii product ya kipuuzi ataitupilia mbali
Mimi nasema Mkurugenzi Mkuu wa TCRA lazima ang'oke huyo. Hawa ndo vimelea vya Jiwe vimebakia vinasumbua watu kama huyo DG wa TPA...!!!Wanatuchezea akili washaona watanzania hatujui kuhoji, washushe na bei kbs.
Batch of idiots
Huyo mzee Mwinyi aliacha legacy ambayo siyo rahisi kuifuta.....!!!Tokea Mwinyi ajiuzulu Uwaziri uliwahi kusikia Waziri mwingine kama sio kutumbuliwa
Hawa Mawaziri "Nyungu"hawawezi kujiuzuluHuyo mzee Mwinyi aliacha legacy ambayo siyo rahisi kuifuta.....!!!
Legacy hiyo bado inaendelea kumbeba hata mwanae Hussein!!!
Pumbavu wewe ! Huelewi unachokisema, wakati mama anaingia tayari huyo ndungugile sijui alikua amesha implement mabadiliko ya bando na pengine marehemu alikua ameshakubali, sasa mama ameingia na yamesitishwa wewe kwa akili zako za kiduwanzi huoni ni jambo la kupongezwa ?Na wewe unatakiwa utumie akili, wewe unadhani huyo rais alikua hajui kwamba bando linaongezeka? Alafu eti unakaa unamsifia daaah sijui ujinga utatuisha lini!!
Kwa kifupi ujue waziri hawezi kufanya maamuzi bila rais na makamu wake kujua!! Na mpaka waziri anafanya maamuzi jua ana baraka zote kutoka kwa rais. Acha kusifia upuuzi.
Na wewe tuondolee udwanzi wako.Pumbavu wewe ! Huelewi unachokisema, wakati mama anaingia tayari huyo ndungugile sijui alikua amesha implement mabadiliko ya bando na pengine marehemu alikua ameshakubali, sasa mama ameingia na yamesitishwa wewe kwa akili zako za kiduwanzi huoni ni jambo la kupongezwa ?
Kweli mkuu,, bora hata angekuwa na hizo akili za kizamani, usikute hana akili hata 1!Nadhani ifuatiwe na kumsaidia kazi huyo waziri Ndugulile.Maana ameshindwa.yaani badala ya kuboresha sector yeye ameenda kuharibu.
mimi nilishitukia pale alipotoa kauli ya kutaka watu waache kutumia whatsap calls kupiga International calls.kwamba serikali inakosa mapato.
Hivyo alikuwa na mpanga wa kutafuta muarobaini wa kuzuia calls kwa njia za Whatsap,na nyinginezo kama skype. Sasa si ni kwamba huyu anatumia akili za zamani kutatua matatizo ya kisasa.Lazima atuumize tuu
Wakati magu anakubali mama samia si alikua VP? Kuna kitu rais atafanya VP wake asijue?Pumbavu wewe ! Huelewi unachokisema, wakati mama anaingia tayari huyo ndungugile sijui alikua amesha implement mabadiliko ya bando na pengine marehemu alikua ameshakubali, sasa mama ameingia na yamesitishwa wewe kwa akili zako za kiduwanzi huoni ni jambo la kupongezwa ?
Pesa zetu walizoanza kutupola watazilejesha?Hata hili naamini serikali italiweka sawa.