Nyamufanco
Member
- Oct 14, 2020
- 22
- 27
Du! Watu tunadanganywa kweli! Kabla ya vifurushi vipya kutangazwa Halotel ilikuwa mtu anapata kifurushi vya Internet GB 5 mpaka 7 kwa wiki kwa bei ya 5,000sh. Baada ya mabadiliko ni sh5,000 GB 2.2 na dakika 30 mitandao yote.
Kama ni kweli Serikali wamesitisha kwanini nisipate GB 5 mpaka 7 kwa wiki kwa sh5,000?
Kama ni kweli Serikali wamesitisha kwanini nisipate GB 5 mpaka 7 kwa wiki kwa sh5,000?